Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,794
- 95,906
Binti wa zamani hiko kitenge chake kina nyuzi zake zote za kwichy..!! 😹😹Dah 😅😅😅
Binti wa zamani hiko kitenge chake kina nyuzi zake zote za kwichy..!! 😹😹Dah 😅😅😅
🤣🤣🤣 Acha basiBinti wa zamani hiko kitenge chake kina nyuzi zake zote za kwichy..!! 😹😹
MashaAllah
Mimi nadhan pesa ndio inaleta furaha zote hizo kama utazitumia ki usahihiLadha ya maisha unaipata kwenye nini?
Watu husema bila afya, maisha hayana ladha
Wengine husema bila pesa, maisha hayana ladha
Kuna wanaokunywa pombe wakiamini ndiyo njia ya kuonja ladha ya maisha na kujisitiri na mawazo ya kila siku
Wengine huona raha na ladha ya maisha kupitia mapenzi na ngono, wakiamini humo ndimo kuna furaha kamili
Lakini je, umewahi kufika mahali ukaona maisha hayana ladha kabisa?
Ladha ya maisha ni nini hasa?
Utajuaje kwamba hiki unachokipitia sasa ndiyo ladha halisi ya maisha?
Je, kuwa na familia, mke, mume, mpenzi, watoto, marafiki au hata mchepuko kumeongeza ladha ya maisha yako, au kumeifanya ipotee?
Karibu tushirikishane mawazo na uzoefu wetu
It's Furahi Day! 😄
ShesRise_1
🖐
SahihiMimi nadhan pesa ndio inaleta furaha zote hizo kama utazitumia ki usahihi
Bi msumi unamkabaje🤣HAKUNA LADHA MURUA KAMA KUCHAKATA MBUSUSU NA KUMKABA BI MSUMI KWANGU
kama walivyokabwa wakoloniBi msumi unamkabaje🤣
😅😅😅 noma mzeekama walivyokabwa wakoloni
Kijana pole 😢Procrastination
Porn
Addiction
Overthinking
Nawaza sana inawezekanaje mtu anaonekana kabisa kichwa kina ubongo kutimiza kusudi la uumbaji halafu wanamuacha ashike madaraka makubwa kiasi kile,au walimuweka ili wao wafaidi kwa sababu ya uzumbe wake?😅😅😅 noma mzee
Mtu wa aina ile hua hawezi kuhoji mafisadi hana huo uwezo kwa hiyo yeye kua no one ni faida kede kede kwa mafisadi na wachumia tumboNawaza sana inawezekanaje mtu anaonekana kabisa kichwa kina ubongo kutimiza kusudi la uumbaji halafu wanamuacha ashike madaraka makubwa kiasi kile,au walimuweka ili wao wafaidi kwa sababu ya uzumbe wake?
At my worst today😢Kijana pole 😢
🫂At my worst today😢