Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,021
- 1,739
Mkuu inategemeana na aina ya beer huku kuna beer inaitwa eagle ukinywa nne utafikiri umemeza safari tisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aseee JF raha sanaBia ya saba
[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
Maandalizi ya kupakiwa kwenye toroli
[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]memkwabia ya 7 hata yule ambaye hajasoma MEMKWA hujikuta akiongea kiingereza tena kwa kujiamini sana utadhani katoka kwa malkia elizabeth
Art of creation [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa wanywaji wazuri wa bia,
chupa ya kwanza [emoji481] huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.
chupa ya pili [emoji481][emoji481] kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….
Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.
Bia ya tatu [emoji481][emoji481][emoji481] huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..
Bia ya nne [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.
Bia ya tano [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; ‘Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au ‘ Mume wangu sijui yukoje hanijali’
Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.
Kuanzia bia ya sita [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajumbe wenzangu wa kikao naomba karibuni bier ya 7 na kuendelea
kama nikachupa kale kadogo ukikamaliza tu unahsi uso ni mzito na unataman kila mda kujifuta futa unahc kama ganzi. usoni na huambatana na mambo yote aliyo nayo aliyekunywa bia tao kichupa chapili kikiisha unaona kujiamini nakutaman kujionyesha na hapo ndio simu inatumika kupigia watu na aliye karibu kumualika cha tatu maranying huambatana na mambo ambayo kesho ukiyakumbuka lazima ujisie vibayaHahahaha we jamaa hatari sana,huu ni ukweli mtupu,vipi kuhusu wazee wa nyagi?
Sasa hapo mbona ulikuwa kwenye hatua nzuri tuHapana ndugu,
Nilishawahi piga kitu ghafla nikaanza kumpapasa shemela bila aibu.
Tangia siku hiyo naiepuka kabisa.
Wasiokunywa wengi wangekuwa na Magorofa....hahahaha...tena uwakute sasa wanavyozipigia bia hesabu za matofali na mifuko ya simenti;wangekuwa wanamiliki maghorofa
Mkuu hiyo Avatar iangalie vizuri utaielewa.kuna mtu anazungukwa hapo.Hii comment yako huwa nawauliza sana wanaodai namalizia pesa baa kwamba za kwao wanamalizia wapi?
Anyway nifafanulie avatar yako maana naona watu wanapeana kwa miguu
Eagle,Balimi,Plisner,Kibo,hizi jamii ya Bia sio za kufakamiaMkuu inategemeana na aina ya beer huku kuna beer inaitwa eagle ukinywa nne utafikiri umemeza safari tisa
Kwa wanywaji wazuri wa bia,
In wine there is wisdom, in beer there is freedoms , in water there is bacteria.....BENJAMIN FRANKLINUlichosahau mkuu ni kwamba mtu akishalewa huwa anaongea ukweli tu yaani anaweza kutoa mpk siri zake [emoji2][emoji23][emoji23]
Anza Leo hujachelewa ni chupa zinazokufanya kujua kuongea kiingereza vizuri tofauti ni mwanzo. Lakini ni kwa muda tu chaji ikiisha ubora wa lugha hupunguaSijawahi kunywa bia hivyo sijui lolote kwenye hili, nimesoma nabaki nacheka tu
Kama hujawahi tumia sikushauri kujaribu maana utajutaa sijajua umri wako ila kuanzia ukubwan pombe ni hatari. Me nakumbuka nmeanza darasa 3 rasm ile unatoka na mzazi anakutilia kichelee kwenye glass [emoji23][emoji23]Watu kama wewe wameshanipa ushauri sana wa kupiga vyombo ila msimamo ni hapana vinywaji laini vinatosha
Nkiwa nimeshibaa vyema maji shazi labda tuwe nakasafar karefu kwenye ka private k vant kubwa inakataa chap natafuta na kadogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vp kuhusu sie tunaokunywa konyagi,valuer,magic moment..embu tupe mchanganuo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Inategemeaa me mshkaji wangu pombe kali mtakesha kwenye bia akigusa mbili tuu habari imeishaa kabisaa unaweza sema kanywa sumuNyinyi bia haziwafai na hata mkinywa hamulewi