Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,309
- 7,502
Ulevi wako tushauona kwenye avatar yako! Kuna jamaa hapo juu kasema huo ulevi wako ni hadi afikie chupa ya saba!Watu kama wewe wameshanipa ushauri sana wa kupiga vyombo ila msimamo ni hapana vinywaji laini vinatosha