Pombe imesaidia sana kupunguza suicide cases na ugaidi duniani. Mataifa na makabila ambayo pombe ni sehemu ya utamaduni wao yana viwango vikubwa vya utajiri na furaha. Ugaidi umeenea sana kwenye Mataifa yanayodai pombe ni haramu. Mungu hakuwa mjinga alipoumba mimea itumikayo kuzalisha pombe.
Alijua kiumbe huchoka na huhuzunika, hivyo huhitaji hisia na mwili wake vitulizwe, ili apate maisha marefu na ya amani. Cha kuzingatiwa ni kunywa kwa kiasi maana hata pilau yatakiwa kuliwa kwa kiasi. Umewahi kumwona tembo aliyekunywa anavyosakata muziki? Kuna funzo la kuzingatia kwa nini pombe ipo duniani!