Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,155
- 4,719
Hakuna watu wana ushirikiano kama wanywa pombe na wavuta sigaraWalevi Huwa wanatengeneza network akizima kama mu waungwana mtawaza namna ya kumsaidia
Hakuna watu wana ushirikiano kama wanywa pombe na wavuta sigaraWalevi Huwa wanatengeneza network akizima kama mu waungwana mtawaza namna ya kumsaidia
Namaanisha mchumba wa mshkaji mkuu,Sasa hapo mbona ulikuwa kwenye hatua nzuri tu
Na wewe punguza ile mimoshiNawaombea kwa Mungu muache pombe kama nilivyoacha . Amen.
haa haaaaaa mzeee mwenzangu tutaweka miadi siku moja ili tuzipige pamoja tuone kama hatujatoka na bartender maeneo ya liquid tena ile mpya!!IQ zetu za ulevi ni mapacha.
Itakua vizuri siku moja nikukaribishe tupate pamoja
aaaah anajua ilo ndo maana hapendi niwe nakunywa nje, ananua kreti nzima ila naona nikiwa home nalewa mapema... haa haaaaa!! maana hakuna viburudisho kama mziki mnene maana utawakera majirani, hakuna sketi tofauti tofauti mara msambwanda mkuubwa mara kamodo raaahhahaaa aisee basi kama ndio hvyo wake zenu shughuli wanazo
hahaaa msambwanda mkubwa tena ...aaaah anajua ilo ndo maana hapendi niwe nakunywa nje, ananua kreti nzima ila naona nikiwa home nalewa mapema... haa haaaaa!! maana hakuna viburudisho kama mziki mnene maana utawakera majirani, hakuna sketi tofauti tofauti mara msambwanda mkuubwa mara kamodo raaah
haaa haaa mkuu apo hadi baamedi mbibi unamuona kama [HASHTAG]#MobettoHamissa[/HASHTAG], kesho ukiamka nae unatamani hadi majirani wasikuone vile unamtoa nje alivo mbaya haa haaaaa!!hahaaa msambwanda mkubwa tena ...
naskia ukishalewa huchelewi kuanza kumuona bar maid kuwa ni Kim kadarshian...
maneno kama baby ..mtoto mzuri ..mchumba .cheupe nakupenda ujue ..unakunywa via gani mtoto mzuri ...maneno kama hayo huchukua hatamu faster kwa kasi ya 5g
hahaaaa aiseehaaa haaa mkuu apo hadi baamedi mbibi unamuona kama [HASHTAG]#MobettoHamissa[/HASHTAG], kesho ukiamka nae unatamani hadi majirani wasikuone vile unamtoa nje alivo mbaya haa haaaaa!!