Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
Nenda kwa Mangi agiza moja ntakuja kulipa ufanye experiment mwenyewe.
Sawa mkuu, one time nakutumia bill
Nenda kwa Mangi agiza moja ntakuja kulipa ufanye experiment mwenyewe.
Kinakuwaje??Ikifika ya 3 kila kitu kinabadirika
Nyinyi bia haziwafai na hata mkinywa hamulewivp kuhusu sie tunaokunywa konyagi,valuer,magic moment..embu tupe mchanganuo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Naanza kujiona mtu tofauti kabisa yaan shunie mwingineKinakuwaje??
Pole sanaNaanza kujiona mtu tofauti kabisa yaan shunie mwingine
Sema no "pombe" 2018
Rudi ulikotoka, umeingia sehemu huruhusiwiWajuzi! Hivi bia uwa ina ladha
Siwezi rudi, nataka tumia hii kitu.. ila sharti nipate ushawishiRudi ulikotoka, umeingia sehemu huruhusiwi
Utajuta sana, we haya we mkaribishe shetani tuSiwezi rudi, nataka tumia hii kitu.. ila sharti nipate ushawishi
Utajuta sana, we haya we mkaribishe shetani tu
Mimi bia ya nane naanza kugawa ofa, mpaka ya kumi na mbili waleti nyeupeeeee peee naanza kulia na kulia kulia lia lia lia sana, kisa nawaza laki ilivyokatika fasta na jinsi maisha yalivyonipiga sina gari wala Nyumba.
Please msiokunywa msikoment mtatuharibia uzi maana mshaanza
haaahaahaahaa tunafanana akili mkuu!__japo mimi nikifikisha ya 7 tu kila mtu lazima nimpe bia ya ofaMimi bia ya nane naanza kugawa ofa, mpaka ya kumi na mbili waleti nyeupeeeee peee naanza kulia na kulia kulia lia lia lia sana, kisa nawaza laki ilivyokatika fasta na jinsi maisha yalivyonipiga sina gari wala Nyumba.
Hata sijui namlilia nani ila watu huwa wananiambia. Ninachokumbuka huwa nafungua waleti kutafuta kumi nyingine nikiikosa narudisha waleti mfukoni na kuanza kutafakari maisha yalivyonipigaUnamlilia nani ?