Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Jaman bia ipewe heshima ake .....
Nikinywaga safari ikifik ya 3 nikijishika usoni naona sura kama sio yangu ....
Sema bia inanifanyaga niongee kiingeleza kizurii sana kiasi kwamba hata IQ yangu inaongezeka ahahaha
Kusema ukweli safari ni nzito jaman chaaaa sitaki kabisa kuziona
 
mie nikipiga windhoek sita, baada ya hapo zinazoendelea ni mafegi alafu kukesha mpaka asubuhi,naendeleza kinywaji mpaka usiku mwingine,huwa nikilewa sinaga hamu na papuchi, mademu watakunywa lakini mwisho wa siku narudi home mwenyewe, sipati mzuka nao
Tuko sawa kabisa me nikishalewa ipasavyoo nikulala tuu kwanza nakuwa mvivu mpakaa kuongea
 
Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; ‘Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au ‘ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana.



Wajumbe wenzangu wa kikao naomba karibuni bier ya 7 na kuendelea
Ya 3 ni wachache wanaochangamka wengi ikifika ya 5 ndo wanachangamka
 
Kama hujawahi tumia sikushauri kujaribu maana utajutaa sijajua umri wako ila kuanzia ukubwan pombe ni hatari. Me nakumbuka nmeanza darasa 3 rasm ile unatoka na mzazi anakutilia kichelee kwenye glass
asante sana kwa ushauri
 
HIVI WADAU CASTLE LITE,NDOVU NA SERENGETI ZINALEWESHA KWELI ? MIE NISHAZOEA NGUMU KUMEZA LAGER
Serengeti light aka henken mayai yabarid me nikieka mdomon mara mbil kameishaa ilaa nikatamu kako Kama kameungua unguu hvii unaeza jikuta umekausha cret sema kukojoa kilaa saaa
 
Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; ‘Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au ‘ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana.



Wajumbe wenzangu wa kikao naomba karibuni bier ya 7 na kuendelea
Bia ya nne ndo mwisho wa starehe, huko mbele huwa ni maafa.
 
Weekend imefika
4e06e01fcca0afb04e08219c9479e7c9.jpg
 
Back
Top Bottom