Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Weekend imefika
4e06e01fcca0afb04e08219c9479e7c9.jpg
Hako ka jokofu kanapoza vzr sana, hivi ni kampuni gani hiyo
 
Mimi bia ya nane naanza kugawa ofa, mpaka ya kumi na mbili waleti nyeupeeeee peee naanza kulia na kulia kulia lia lia lia sana, kisa nawaza laki ilivyokatika fasta na jinsi maisha yalivyonipiga sina gari wala Nyumba.
Kama mm,
Ila niliamua kuacha,
Mwaka sasa,
Sijui na hivi vyuma ningeishije
 
kama nikachupa kale kadogo ukikamaliza tu unahsi uso ni mzito na unataman kila mda kujifuta futa unahc kama ganzi. usoni na huambatana na mambo yote aliyo nayo aliyekunywa bia tao kichupa chapili kikiisha unaona kujiamini nakutaman kujionyesha na hapo ndio simu inatumika kupigia watu na aliye karibu kumualika cha tatu maranying huambatana na mambo ambayo kesho ukiyakumbuka lazima ujisie vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila mtu anaelezea sekta yake
Unaweza kuumia vibaya bila kujua bila maumivu
 
Kuna jirani yangu mmoja hapa Nyamililo...... yeye akifikisha Beer ya saba, lazima kesho yake aokotwe kwenye mtaro....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila mtu anaelezea sekta yake
Unaweza kuumia vibaya bila kujua bila maumivu
hahahahahahaa nishawah kuruka mtaro dah! nilifkia uso aise asubuh nilijuta sana maana sio kwa kuaribika kule
 
Bia ya 1-3 nakuwa mstarabu kinoma bar mind namwita sistar 4-7 hapa hali hubadirika yule niliyekuwa na mwita sister anaitwa Malaya na hapo ndipo ukalimu huja wape wale na hule muongezee na ndy mahali pekee jini LA kizungu hunijia na kujikuta nakiongea bila kukwama kwama
 
Aaaaaah wakuu bia ina raha yake, kuna siku nlikata laki mbili bar kisa mademu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani mmenisababishia kiu cha ghafla sana sidhani Kama jioni itafika nahivi niko mapumziko daah Mungu anawaona!!!
 
Pombe bwana hivi jaman mi kuna siku hua nalewa mpaka inabaki mb3 yaan hizo mb 3 ni za kukufikisha hom na ukifika tu kesho hukumbuki hata ulifikaje hom bt ndio umefika na milango unakuta umefunga bt hukumbuki umerudije hahahah
 
ninaposhangaa ni pale kwenye hizo round kila mtu gauge inapanda kulingana na unywaji wake wasiojua kiingereza wataongea cjui inakuwaje hapo [emoji14] !
 
Back
Top Bottom