Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,174
Achana na mambo ya mkaa endelea na shughuli zako, kugongwa na nyoka ni bahati mbaya mkuu na kwake nyoka hapendi kugonga mtu (ni matumizi mabaya ya sumu ambayo anatumia kuwinda)Watu wengi wamependekeza Hivo kuwa niruhusu wachoma mkaa ila Kwa sharti la kuwaambia waache baadhi ya miti pakiwa peupe hawezi kaa.
Kabla sijafanya hiyo njia nikawaza nililete humu lengo nikuwa mazingira yataharibika iwapo nitaruhisu wachomaa mkaa najua Fujo za wasukuma katika kukata miti Huwa wanaichimba Hadi visiki
Mkianza shughuli atahama au atakuwa anapita usiku mchana anapotea. Kelele na mishe za raia zitamdogeza mbali
N.B. Tunakuhakikishia akikugonga na ukafariki MKE WAKO HAOLEWI kama jina lake (jokes)