Nipo urambo tabora ni siku ya pili leo ila story zao zinaniogopesha sana

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Sep 19, 2023
200
433
Wakuu habari,nipo huku Kanda ya magharibi maeneo ya URAMBO-TABORA tangu ijumaa.Watu wa eneo hili siyo wapenzi sana wa story za siasa wala soka japo kwa mbali tunazigusia Kwa kiasi.Masimulizi yao zaidi ni kuniulizia kama maeneo ninayotoka tulishawahi kukutana na nyoka aina ya koboko "Black Mamba".Niliwapa tu uhalisia tu kwamba hatujawahi.Nimelezwa mengi ila walichonifariji ni kwamba japo urambo hawa nyoka wapo wengi sana ila hawaonekani kirahisi.Wanandugu kesho narudi Musoma.
 
Wakuu habari,nipo huku Kanda ya magharibi maeneo ya URAMBO-TABORA tangu ijumaa.Watu wa eneo hili siyo wapenzi sana wa story za siasa wala soka japo kwa mbali tunazigusia Kwa kiasi.Masimulizi yao zaidi ni kuniulizia kama maeneo ninayotoka tulishawahi kukutana na nyoka aina ya koboko "Black Mamba".Niliwapa tu uhalisia tu kwamba hatujawahi.Nimelezwa mengi ila walichonifariji ni kwamba japo urambo hawa nyoka wapo wengi sana ila hawaonekani kirahisi.Wanandugu kesho narudi Musoma.
Wanakutisha tu hakuna chochote.

Hakuna nyoka asiyeonekana.

Fanya mambo yako usiogope chochote.
 
Koboko hapendelei sana kuishi karibu na makazi ya binadamu, ingawa kuna wakati hufika kwenye mazingira hayo kutafuta chakula.
Panya na vifaranga vya kuku.

Hata hivyo mkoa wa Tabora ni moja ya mikoa michache yenye nyoka hao wenye sumu kali.

Tahadhari unapotembelea maeneo ya vijiji vilivyozungukwa na misitu minene.
 
Back
Top Bottom