kwenu waraibu wa punyeto, acheni kuvuta hisia kwa kuangalia porn ni bora ujiwaze wewe ni muhusika kuliko mwanaume mwengine

kwenu waraibu wa punyeto, acheni kuvuta hisia kwa kuangalia porn ni bora ujiwaze wewe ni muhusika kuliko mwanaume mwengine

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Heri nusu shari kuliko shari kamili

Punyeto na porn ni mambo mawili ambayo yamekuwa tatizo kubwa hasa katika zama hizi za teknolojia za smartphones unazoweza kutumia ndani ya blanketi, chooni, vyumbani, n.k..

wengi wanaopiga punyeto wamejikuta wakiingia kwenye uraibu mwengine wa kuangalia wengine wakicheza video za ngono (porn)

Huu ni mchezo mbaya zaidi, mtu anafika kileleni kwa kumuangalia mwanaume mwengine, hisia zote anahamishia kwa mtu mwengine/

Ni kitu kinachopunguza sana confidence kuona wale wa kwenye video ni bora kuzidi wewe, kuanza kujiona una mapungufu, kutaka kufanana na wengine, kupunguza confidence, n.k. ni gonjwa baya sana la akili

Acha kuangalia porn, ni heri uwe unaperuzi picha za pisi za instagram au uwe unawafikiria huku ukivuta hisia kwenye fikra ni wewe ndie unafanya tendo

Punyeto ni hatari kwa afya yako, tafuta mwenzako.
 
Mimi huyo
FB_IMG_1756761036317.jpg

Addicted wa nyeto na mpaka saa hii sijatia kitu tumboni halafu night inanisubiri nikakung'ute bao mbili.
 
Back
Top Bottom