ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,575
- 44,810
Mwanzoni Kijana anapobalehe anapiga punyeto acapella yaani hata akiwa anaoga bafuni anajichua akiwa amesimama na anaridhika.Ila siku zinapozidi kwenda Kijana anapata smartphone na muda wote yuko nayo anaanza kuangalia porn regularly akiwa tu kitandan macho yake yaliyojaa uzinzi yanampeleka site za ngono mule akiwa anaangalia ili apige punyeto anaona tupu zote za kike na kiume lakini x zilivyo watazamaji wanaonekana kuvutiwa zaidi na Jinsia KE yaani jinsi mwanamke anavyogunaguna ama kukunjwa kunjwa style mbalimbali.
Basi huwa kuna chemical Fulani ya Raha homoni hio huwa inaachiwa na kuufanya mwili usisimke katika ubongo na hii itaanza kumfanya Kijana ajaribu jaribu mikao mbalimbali ya kike yaani kiufupi Kijana Mbobezi Kwenye nyeto ya kutumia porno lazima ajaribu kujifanya mwanamke kidizaini fulani yaani porno imekaa kunoga kwa yule Anayeingiliwa kuliko anayepiga mashine.Na hata kama asipokuwa shoga ila tu kitendo cha kufeel kama analiwa ni fedheha.Hii si hatari sana ndugu zangu wa kataa ndoa na Wale chaputa A.
Video za porn zimewekwa kwa makundi kulingana na uhitaji wa mtazamaji anapendelea jambo gani.
Kuna video za mashoga, video za wanawake wanene, video za wabibi au wababu wanafanya na vijana na mabinti wadogo, video za wanawake kwa wanawake, video za wanawake pekee yao bila mtu yoyote, video za ngono za fujo, video za ngono ya uchafu, etc.
Kwa kifupi zile categories zimeandaliwa kulingana na aina ya magonjwa ya akili watu wapo nayo kichwani na wanatamani kuona nini.
Ndio maana kwa mtu ambaye ana akili sawa sawa na timamu ambaye amelelewa vema kimaadili basi pornography haiwezi kumfanya mlevi au akapata uraibu sababu ndani yake hakuna category yoyote inayomsisimua.
Najua wengi mnaotazama video ya mwanaume na mwanamke wanafanya ngono mnahisi mpo salama sababu category hiyo ni straight but naomba ufahamu, mwanaume kutazama video ya namna hiyo ni sawa na kuwapo chumba kimoja na watu wengine wawili yaani mwanaume na mwanamke wanafanya ngono mbele yako. Hilo ni tatizo la kiakili pia.
Hivi haujawahi kusikia story za wanaume ambao wanataka mwanamke wake afanye ngono mbele yake na mwanaume mwingine ndipo yeye apate stimu za kumuingilia pia?
Jambo lingine, kuwa chumba kimoja na mwanaume mwingine ukifanya ngono hata kama mnafanya na mwanamke ni dalili ya bisexuality yaani mwanaume ambaye unavutiwa pia na wanaume wenzako sababu unaona kawaida kutazama maumbile yao kama sehemu ya msisimko.
Ni afadhali mwanamke uvutiwe kutazama wanawake kwa wanawake kidogo ina make sense. Ila kutazama wanaume wenzako wakiwa watupu na mwanamke au wakiwa wao kwa wao maana yake wewe una elements za utayari wa kulala kingono na mwanaume mwenzako ukishawishiwa.
Anyways, tuachane na haya mambo ya kuzimu, ngono inaonekana ni tamu na kusisimua ila ina madhara makubwa. Mahusiano ndio kila kitu, jiwekeze zaidi huko kwenye mahusiano ya kawaida na mtu wako na wekeza hisia furaha, burudani na mashamsham kwake bila kuhusisha ngono then utaona namna mwili wako utafanya kazi kitofauti.
Basi huwa kuna chemical Fulani ya Raha homoni hio huwa inaachiwa na kuufanya mwili usisimke katika ubongo na hii itaanza kumfanya Kijana ajaribu jaribu mikao mbalimbali ya kike yaani kiufupi Kijana Mbobezi Kwenye nyeto ya kutumia porno lazima ajaribu kujifanya mwanamke kidizaini fulani yaani porno imekaa kunoga kwa yule Anayeingiliwa kuliko anayepiga mashine.Na hata kama asipokuwa shoga ila tu kitendo cha kufeel kama analiwa ni fedheha.Hii si hatari sana ndugu zangu wa kataa ndoa na Wale chaputa A.
Video za porn zimewekwa kwa makundi kulingana na uhitaji wa mtazamaji anapendelea jambo gani.
Kuna video za mashoga, video za wanawake wanene, video za wabibi au wababu wanafanya na vijana na mabinti wadogo, video za wanawake kwa wanawake, video za wanawake pekee yao bila mtu yoyote, video za ngono za fujo, video za ngono ya uchafu, etc.
Kwa kifupi zile categories zimeandaliwa kulingana na aina ya magonjwa ya akili watu wapo nayo kichwani na wanatamani kuona nini.
Ndio maana kwa mtu ambaye ana akili sawa sawa na timamu ambaye amelelewa vema kimaadili basi pornography haiwezi kumfanya mlevi au akapata uraibu sababu ndani yake hakuna category yoyote inayomsisimua.
Najua wengi mnaotazama video ya mwanaume na mwanamke wanafanya ngono mnahisi mpo salama sababu category hiyo ni straight but naomba ufahamu, mwanaume kutazama video ya namna hiyo ni sawa na kuwapo chumba kimoja na watu wengine wawili yaani mwanaume na mwanamke wanafanya ngono mbele yako. Hilo ni tatizo la kiakili pia.
Hivi haujawahi kusikia story za wanaume ambao wanataka mwanamke wake afanye ngono mbele yake na mwanaume mwingine ndipo yeye apate stimu za kumuingilia pia?
Jambo lingine, kuwa chumba kimoja na mwanaume mwingine ukifanya ngono hata kama mnafanya na mwanamke ni dalili ya bisexuality yaani mwanaume ambaye unavutiwa pia na wanaume wenzako sababu unaona kawaida kutazama maumbile yao kama sehemu ya msisimko.
Ni afadhali mwanamke uvutiwe kutazama wanawake kwa wanawake kidogo ina make sense. Ila kutazama wanaume wenzako wakiwa watupu na mwanamke au wakiwa wao kwa wao maana yake wewe una elements za utayari wa kulala kingono na mwanaume mwenzako ukishawishiwa.
Anyways, tuachane na haya mambo ya kuzimu, ngono inaonekana ni tamu na kusisimua ila ina madhara makubwa. Mahusiano ndio kila kitu, jiwekeze zaidi huko kwenye mahusiano ya kawaida na mtu wako na wekeza hisia furaha, burudani na mashamsham kwake bila kuhusisha ngono then utaona namna mwili wako utafanya kazi kitofauti.