Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Amelaaniwa MTU yule amtegemeaye mwanadamu. Nina ujuha na ukengeufu kumtegemea mume ama mke kukupa furaha ktk maisha. Vipi usipoipata? Vipi ukaipata kwa mufa kisha akakugeuka?

Furaha inaletwa na yule aliye juu tuuu.

Lengo la ndoa ni mgegedo tu, na kwakuwa siku hizi kugegedana ni nje nje unataka ndoa ya nini?
Hapa umeenda kiimani zaidi.
Hivi unajua kwanini wajane wanayo thamani kubwa mbele ya Mungu?
Ukipata jibu hili, utagundua kuwa upweke siyo dili Sexless!

Mungu mwenyewe anajua ya kuwa tunakoelekea vijana wote lazima tupate wenza Wa maishani ili kuitimiza furaha zetu.

Haya mambo kiimani uko sawa ila njoo kiuhalisia sasa ndipo utapopata majibu.

Ila tambua IPO furaha kubwa kuwa wawili, sema tu mambo huenda kinyume pale tu unapopata MTU ambaye hakujali na kukosa upendo Wa dhati.
 
Hapa umeenda kiimani zaidi.
Hivi unajua kwanini wajane wanayo thamani kubwa mbele ya Mungu?
Ukipata jibu hili, utagundua kuwa upweke siyo dili Sexless!

Mungu mwenyewe anajua ya kuwa tunakoelekea vijana wote lazima tupate wenza Wa maishani ili kuitimiza furaha zetu.

Haya mambo kiimani uko sawa ila njoo kiuhalisia sasa ndipo utapopata majibu.

Ila tambua IPO furaha kubwa kuwa wawili, sema tu mambo huenda kinyume pale tu unapopata MTU ambaye hakujali na kukosa upendo Wa dhati.
Saw a mkuu. Na kiuhalisia kati ya ndoa 2017 ni 3 tu ndiyo zinafanya vizuri, zilizobakia ni full majanga.
 
Samtaimz ndoa zina challenges zake... lakini utamu unabakia palepale

images
mie huyo jamaa nilijua kashika tunguli mkuu...kumbe kamshika mtoto hivyo kama mfuko wa tambi.
 
Kuzeeka single unadhani Nani anapenda.Ndoa wanawake wanaihitaji kiliko sisi wanamume.
 
Huyu ni Shishi Trump anafuraha kupita maelezo kwa kuolewa na Uchebe.

Twende mbele turudi nyuma hapa mjini utadanga wee ila mwisho wa siku ndoa utaihitaji tu. Na kama ukifika 40's haujaolewa hautakuwa na maisha yenye amani.

Hongera Uchebe naona mzimu wako haujaleta masihara kama mzimu wa Nuhu.
daaaahh kwl aisee ila Nuhu fungu la kukosa
Kila kiumbe kiolewe??? Tutake radhi wanaume kabla sijamimina mvua ya laana...


Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Mioyo ya wahusika ingekuwa inaongea, mngejua jinsi wanavyozihitaji ndoa.

Asikudanganye yeyote, furaha ya mwanamke iko kwa mwanaume na furaha ya mwanaume iko kwa mwanamke siku zote. Hakuna mtu asiyeihitaji ndoa au maisha ya kuishi wawili. Ni pale tu ambapo anakuwa hajapata mtu sahihi Wa kuwa naye.

Amini usiamini tunategemeana sana sana zaidi ya timu za mpira. Huwezi kuishi pekee ukasema uko happy na maisha yako. Not true.
Hapa nakubaliana nawewe kabisa.
Tena watu wasilete kejeli ktk hili maana nature iko wazi pale jinsia mbili zilipo umbwa na kutengenezwa.
NDOA ilikua ni mpango kazi wa Mungu kwa maana ya kumpa Adam msaidizi ili wasaidiane ktk kila jambo,hivyo ni kweli kabisa kwamba hizi jinsia zinategemeana mno ktk kuifanya furaha ya kila mmoja.


Sent from my VFD 1100 using JamiiForums mobile app
 
Absolutely trueeee . hayupo hayupo hata mmoja ,huwa ni 'sizitaki mbichi hizi".

Yaaan nikama MTU anayejitekenya.
Hapana si kila mtu anahitaji ndoa, wengine they only need an amazing sex, unaweza ukaolewa ukakosa hilo ndio ukajua kiasi gani umepoteza muda wako kuolewa na hitajika lako lisitimie! Unaishia kutafuta tena mwanamume Mashine halafu watu kiherehere cha kukusema bila kuelewa.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Viumbe vya kuumiza kichwa hivi as Bible said tuishi nao kwa akili. Tafakari na chukua hatua!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom