Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
Nmejaribu kuzoom nijue niwali au kande ??.
Kwaiyo maji ninaamin yatakua nimakande .
Ngoja nikusaidie kuzoom
Nmejaribu kuzoom nijue niwali au kande ??.
Kwaiyo maji ninaamin yatakua nimakande .
Hahahaaaaa huyu mzeee hana wakumlaumu doooohhhh ..,, utamu ukajirudisha wenyeweKamekumbwa na mafuriko kama ya Kilosa
Huyu mzee aliremba sana, askari walipotokea akatoka bilabila
![]()
Mwanaume je haitaji kuoa?Huyu ni Shishi Trump anafuraha kupita maelezo kwa kuolewa na Uchebe.
Twende mbele turudi nyuma hapa mjini utadanga wee ila mwisho wa siku ndoa utaihitaji tu. Na kama ukifika 40's haujaolewa hautakuwa na maisha yenye amani.
Hongera Uchebe naona mzimu wako haujaleta masihara kama mzimu wa Nuhu.
Haaaaaa hapo nmekupata ..unaambiwa sio unakuka sahan mmoja ya chips then unasema nmeshiba hahahahaa.Ngoja nikusaidie kuzoom
![]()

Alitoka speed kama jet...Hahahaaaaa huyu mzeee hana wakumlaumu doooohhhh ..,, utamu ukajirudisha wenyewe
Hahahaaaaa kabla sijaondoka nitamuwekea tego tuuu Noway ....Hahahahaa Sasa Mkuu Si Watamtafuna Mima Huku Uraiani ?
Chakushangaza tulivyo ,, sure kuna MTU bado anaweza kupigwa hela hapoAlitoka speed kama jet...
![]()
Aspirin Naona Umetuamulia Leo
Hahahaaaaa hahaaaaa mkuuu nibora aje twende naye saluni hapo sinza , lkn sio kumtumia.doooLazima atafute mbinu ya kukutoroka
![]()
Amelaaniwa MTU yule amtegemeaye mwanadamu. Nina ujuha na ukengeufu kumtegemea mume ama mke kukupa furaha ktk maisha. Vipi usipoipata? Vipi ukaipata kwa mufa kisha akakugeuka?Amini usiamini tunategemeana sana sana zaidi ya timu za mpira. Huwezi kuishi pekee ukasema uko happy na maisha yako. Not true.
Huyu Hapa WakwanzaAmelaaniwa MTU yule amtegemeaye mwanadamu. Nina ujuha na ukengeufu kumtegemea mume ama mke kukupa furaha ktk maisha. Vipi usipoipata? Vipi ukaipata kwa mufa kisha akakugeuka?
Furaha inaletwa na yule aliye juu tuuu.
Lengo la ndoa ni mgegedo tu, na kwakuwa siku hizi kugegedana ni nje nje unataka ndoa ya nini?
tuolewe wote wanawake mwaka huu aamin![]()
![]()
![]()
![]()
![]()