Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Sasa mtu akiolewa asifurahi jamaani aonyeshe huzuni wakati maisha yenyewe mafupi haya.

Kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hivyo ikitokea furaha muhimu bana.
Sasa Kwanini Asingeolewa na Jamaa Wa Nyuma? Ameishi Nae For How Long Hadi Aje Kuolewa Na Uchebe . Ni Nyodo Tu Na Kujikuta Umli Haujaenda Na bata Zikiwasumbua. Now Umli Umeenda Ndo Anakumbuka Kuna Ndoa.
 
Sasa Kwanini Asingeolewa na Jamaa Wa Nyuma? Ameishi Nae For How Long Hadi Aje Kuolewa Na Uchebe . Ni Nyodo Tu Na Kujikuta Umli Haujaenda Na bata Zikiwasumbua. Now Umli Umeenda Ndo Anakumbuka Kuna Ndoa.
Mmh. Mie huwa naamini kila mmoja ana rizki yake ukiona kaolewa na Uchebe basi jua ndio rizki yake hiyo.
 
Ndio ivo mkuuu baada ya 19-29/30 ..huwa zinazofatia ni maombi.

Kitu kikubwa kinachonifurahishaga kuhusu Muda nikwamba "Haurudi nyuma ".
Hahahahaah Ngoja Wafunge Kwaajili Yetu Siye Tutawatafuna Tuu ,Wakifika 35 Ndo Tunawaambia Watulipie Mahali Maana Anakuwa Hana Pakutokea. Na Hachomoki Hapo Ngoja Namimi Nivute Vute Kidogo Nije Niwatafune Sanaaaaa Nikirizika Naoa Mmoja Baada Ya Mwingne Naacha Maana Wao Ndoa Ni Fasheni.
 
Mioyo ya wahusika ingekuwa inaongea, mngejua jinsi wanavyozihitaji ndoa.

Asikudanganye yeyote, furaha ya mwanamke iko kwa mwanaume na furaha ya mwanaume iko kwa mwanamke siku zote. Hakuna mtu asiyeihitaji ndoa au maisha ya kuishi wawili. Ni pale tu ambapo anakuwa hajapata mtu sahihi Wa kuwa naye.

Amini usiamini tunategemeana sana sana zaidi ya timu za mpira. Huwezi kuishi pekee ukasema uko happy na maisha yako. Not true.
 
Hapana chezea kuolewa...

View attachment 676196
Hapana chezea
0abe7eea4699d86a3c0d9987743f8e9c.jpg
 
Hahahahaah Ngoja Wafunge Kwaajili Yetu Siye Tutawatafuna Tuu ,Wakifika 35 Ndo Tunawaambia Watulipie Mahali Maana Anakuwa Hana Pakutokea. Na Hachomoki Hapo Ngoja Namimi Nivute Vute Kidogo Nije Niwatafune Sanaaaaa Nikirizika Naoa Mmoja Baada Ya Mwingne Naacha Maana Wao Ndoa Ni Fasheni.
Hahaaaaaaaa sure at that Age asipolipa maali yeye ,,basi ujue "Njoo tuishi wote"

Itahusika !!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom