Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,566
- 94,827
Awe anajua kunihonga tu, mengine nitavumilia.Hee nawe hebu niambie vigez vyako
Mimi ukiw kama shishi baby tu umenipata
Awe anajua kunihonga tu, mengine nitavumilia.Hee nawe hebu niambie vigez vyako
Mimi ukiw kama shishi baby tu umenipata
Dah aisee subir nivune mpunga nitakutafuta nipate angalau ki 1Awe anajua kunihonga tu, mengine nitavumilia.
Hajahaj niambiwa nisishindane na sehem niliyotokeaMkuu Tafuta Fasta Huyu Demi Ukimpa laki3 Atakuonjesha kidogo Tuu ILi urudi Na mPunga Wa Kutosha
hahaa bora mtu kama. huyo anipitie kushoto stress zakufilisika acha kabisa hazina mfano..mapenzi weka kushoto hayaingii hata kiduchuLazima Mkuu Utafilisika Tuu
Mkuu wacha kwanza nijikite kwenye mpunga wangu isije nikaubemendaManeno tu hayo Boss. Sizitaki Mbichi Hizi
we sahihisha kauli yako ww.....!!Na kila kiumbe aolewe! Amen!
Me nishaolewa mkuu me ni muhenga Wa kwenye ndoa na wajukuu juuShuni C Mekwambia Uje Nkuoe Achana Na Wale Watoto Kule.
Kama Wanakupenda Namimi Nakupenda. Kama Wamekuoa Namimi Nakutaka. Adi Uniambie wameacha Kukupenda Ndo Ntaacha. Haki sawa Kwa wote Yaani wakupende Wao Afu Nisikupende. Haijawah tokea hyoMe nishaolewa mkuu me ni muhenga Wa kwenye ndoa na wajukuu juu
Ni defensive mechanism yake ila ñdoa anaitaka.Hivi kumbe enh? Kuna mdada mmoja anajifanya hataki kusikia habari ya ndoa, kumbe anatuzuga tu?
Khaaaaaaa hivi unajua unaongea na mtu age ya bibi yakoKama Wanakupenda Namimi Nakupenda. Kama Wamekuoa Namimi Nakutaka. Adi Uniambie wameacha Kukupenda Ndo Ntaacha. Haki sawa Kwa wote Yaani wakupende Wao Afu Nisikupende. Haijawah tokea hyo