Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
ndo unamaanisha ,,dunian maajabu bado yanaendelea ??.![]()
Maajabu hayawezi kuisha...\
ndo unamaanisha ,,dunian maajabu bado yanaendelea ??.![]()
Mzigua90 siamin macho yangu ...inamaana tayar Tairi imejazwa pumzi tayar kwà safar ??. Haaaa
hakika hiii nidunia ya wonders duuuhhh ilo pala ukipita juani mida ya SAA saba ,alafu ukoseee uzuge kulipaka Alizeti ....dadeki lazima kichwa kijikaange tuHahahahahaha ila usisahau kapicha mkuuu maana tunategemea watu ili kuendelea kudhihirisha existence ya *kabenchi ka maajabu*.
Hahahaha... kweli vyuma vimekaza![]()
![]()
hakika hiii nidunia ya wonders duuuhhh ilo pala ukipita juani mida ya SAA saba ,alafu ukoseee uzuge kulipaka Alizeti ....dadeki lazima kichwa kijikaange tu
Mkuuu Dini ya Mima White Cute inaruhusu ,, ila siatakua anakuja tu kumitembelea naye nampamo.Mkuu Tunakupenda Sana. Hakuna Kwenda Gerezani Baki na Mima tuu
Mkuuu Asprin salute kwako..,Hawa askari waliniharibia move yangu...
![]()
Sasa Uwe na Kichwa kama Idriss afu Unanyoa Para. Unapaka Alizeti mida ya Sita Mchana![]()
![]()
hakika hiii nidunia ya wonders duuuhhh ilo pala ukipita juani mida ya SAA saba ,alafu ukoseee uzuge kulipaka Alizeti ....dadeki lazima kichwa kijikaange tu

Aaaaahhhh hapo sawa basi sawa ,hapo tutaenda pamoja ,, ndoa inawezekana sasa !!!..Hiyo picha ya mwaka juzi.
Nmejaribu kuzoom nijue niwali au kande ??.
Mi ni mpiga picha tu... kuna ex wangu ananisumbua sana, sasa namtafutia sababu.Mkuu Umeshatafuna Umeshiba Ndo Hao Majamaa Wanakuja Sio.?
Yetu macho mkuuu hahahahaa chakushangaza ...bado tutaendelea kujionea mema yawatuHahahahaa hili Muvi Bado Linaendelea Tuu