Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Mzee baba hapa veepee? Utacheba? Tufanye ana mavumba kama Mtoto wa Bill Gate
32.jpg
Mzeee baba ,,unaambiwa pesa sababu ya roho.

Sitovunga ,ila ninauhakika nitachepuka
 
Mkuu mizigo ya Aspirini Ni Pasua Kichwa. Michemsho Inahitajika Asubuhi Na Jioni. mdudu Mixa Na Povu La castle Pia Inahusika Mkuu Mie Siwezi Nasubili Wanioe Tuu Hawa wakifika 35
Hahahahhaa mizigo ya Aspirin mzeee dooooooh sijui yawapi yaaan.

Bora usubiri wakuoe tu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom