Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,767
Atakuja tuEwaaaaaaaa mambo ndo hayooooo sasa mambo ndo hayooooooooooo.....tatizo sasa wakunifanya niwe kiboko![]()
![]()
![]()
Atakuja tuEwaaaaaaaa mambo ndo hayooooo sasa mambo ndo hayooooooooooo.....tatizo sasa wakunifanya niwe kiboko![]()
![]()
![]()
HahahahaMkuuu unambiwa ndoa inafanya watu![]()
![]()
![]()
Ebwana nikazima wajue ndoa ni raha sanaaa waongee nawazazi wao watunguzuzie maali au walipe wao,mambo yawe hivNasema hiviii. Hawa Madanga Lazima Wajue Ndoa Ina Raha Yake
Si hao hapo.
Utamu ukiwepo hizo challenges zinavumilika tu mbona.Samtaimz ndoa zina challenges zake... lakini utamu unabakia palepale
![]()
Ebwana nikazima wajue ndoa ni raha sanaaa waongee nawazazi wao watunguzuzie maali au walipe wao,mambo yawe hiv![]()
hata nikikosa sutiiii iwezekane tu.![]()
mungu hakukosea kuumba kila kitu ktk pair,kwa kweli mwanamke ni muhimu kwa mwanaume kama ulivyo mhimu kwa mwanamke kuwa na mwanaume.Mioyo ya wahusika ingekuwa inaongea, mngejua jinsi wanavyozihitaji ndoa.
Asikudanganye yeyote, furaha ya mwanamke iko kwa mwanaume na furaha ya mwanaume iko kwa mwanamke siku zote. Hakuna mtu asiyeihitaji ndoa au maisha ya kuishi wawili. Ni pale tu ambapo anakuwa hajapata mtu sahihi Wa kuwa naye.
Amini usiamini tunategemeana sana sana zaidi ya timu za mpira. Huwezi kuishi pekee ukasema uko happy na maisha yako. Not true.
Kaoe tu Mkuu kanakufaaaDah Kanyuma Sijui Nikaoe Mimi
Utamu ukiwepo hizo challenges zinavumilika tu mbona.
Mkuuu izo nichallenges tuuu unambiwa ivi hii kitu nibalaaaSamtaimz ndoa zina challenges zake... lakini utamu unabakia palepale
![]()
Hewaaaaaaaaaa unambiwa mjeda amepata bonge la msupu unaminofi hatareeeeew,,,
Mkuuu izo nichallenges tuuu unambiwa ivi hii kitu nibalaaajaman ndoaaaaaaaa![]()
Na kila kiume aoe! amen!Na kila kiumbe aolewe! Amen!
Mkuuu nmeishiwa vipicha !!! .Kabisa kabisa....
Ndoa tamu asikuambie mtu
![]()
Hahahah! Chiboko yake siyo?Wanawake wote tunapenda ndoa ila na watu tunaowapenda lakini. Ukiona bado mtu anadanga ujue hajapata kiboko yake bado