Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,400
Nakutaka radhi mzee babaKila kiumbe kiolewe??? Tutake radhi wanaume kabla sijamimina mvua ya laana...
Nakutaka radhi mzee babaKila kiumbe kiolewe??? Tutake radhi wanaume kabla sijamimina mvua ya laana...
NopStill avail?
MBA 🤣🤣🤣🤣
Ni haki yake kufaidi


Nikawa nashangaa ,MTU mmoja anasema "Kwan ndoa nini bana..
Nkamwambia ,kusema ndoa nini bana wakati unaitaman Alafu unaishia kudanga danga izo sio akili nitope lakufugia minyooo!!.
Tuoeni nyie maneno mengi anza wewe toa mfano oa uwatulize wakina shishi wengine.Huyu ni Shishi Trump anafuraha kupita maelezo kwa kuolewa na Uchebe.
Twende mbele turudi nyuma hapa mjini utadanga wee ila mwisho wa siku ndoa utaihitaji tu. Na kama ukifika 40's haujaolewa hautakuwa na maisha yenye amani.
Hongera Uchebe naona mzimu wako haujaleta masihara kama mzimu wa Nuhu.
Tuoeni nyie maneno mengi anza wewe toa mfano oa uwatulize wakina shishi wengine.
Ila shishi anamume safari hii.
Na kila kiumbe aolewe! Amen!
mkiolewa mkitulize basi...wengine wameolewa ila bado macho juutuolewe wote wanawake mwaka huu aamin![]()
![]()
![]()
![]()
![]()