MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,008
Mie mwenyewe nataka nitafute mmoja nijisevie,sema we ulishawahiwa lol
Uzuri wake huwa hatuna limit ya namba. Ni uwezo wa kuwapangia ratiba na kuhakikisha hamgonani, na mnapewa vi Toyota IST lol
Mie mwenyewe nataka nitafute mmoja nijisevie,sema we ulishawahiwa lol
Mkokoteni bei yake ni kubwa kuliko Toyo Babyhaahaa! Hata mkokoteni huambulii!
Uzuri wake huwa hatuna limit ya namba. Ni uwezo wa kuwapangia ratiba na kuhakikisha hamgonani, na mnapewa vi Toyota IST lol
hahaaa duh hili la kutupanga kwakweli ni sawa,ila unavyocare hata kama kuna foleni
basi unakuwa unaiona hata!!!!!!!!
haahaa! Umeona eeh! Mana huyu Eiyer huwa ni mtata sana.ngoja nijipange!
Bila shaka ulikuwa unampenda huyo kijana ndio maana imekuuma sana
poyeee
Wiki ilopita nilialikwa kwenye sherehe flani ya kuzaliwa(b'day) ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.Huyu kijana ni graduate amemaliza chuo this year hajapata kazi bado.
Niliskia tu story zake kuwa anatoka na sugermamy mmoja mwenye mihela yake nikawa sijaamini,kweli ujana maji ya moto! si ndo muda wa zawadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!
Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje! ......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.
Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo! so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!
ujumbe uwaendee pia wadada wanaotoka na mibaba saizi ya babu zao tena ni waume za watu. jaman mnatesa familia za wenzenu, sio vizuri