Kweli nimeamini ma "sugar mamy" wapo! Loh!

Kweli nimeamini ma "sugar mamy" wapo! Loh!

Hata kidini imeruhusiwa mwanaume kuwa mkubwa zaidi ya mwanamke au sini zenu za mashetani zimefuta hayo maandiko zikaandika mwanaume awe mdogo mke awe mkubwa?
 
==>> Na ma sugarmamy wengi WANAPENDA TIGO....UKIMPIGA VIZURI 0713.....atakupendaaaa hadi utashangaaaa.....ndio habari ya mujini hiyo...
 
Wiki ilopita nilialikwa kwenye sherehe flani ya kuzaliwa(b'day) ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.Huyu kijana ni graduate amemaliza chuo this year hajapata kazi bado.

Niliskia tu story zake kuwa anatoka na sugermamy mmoja mwenye mihela yake nikawa sijaamini,kweli ujana maji ya moto! si ndo muda wa zawadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!

Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje! ......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.

Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo! so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!

Munkari:Tujuze wazazi wa kijana walikuwepo kwenye hiyo part hili tupate pa kuanzia.Lakini kwa kifupi tunamkosea sana Mungu na aturehemu katika yote.
 
Kunya anye kuku akinya bata kahalisha
 
kha kwa hiyo kama hamna ubaguzi ndio uwe na mpenzi babu yako au bibi yako???

Mndengereko kwani mapenzi yanaona hayo yote? kama babu kwako ni kioja kwa mwingine ni babe! Ubaya mapenzi hayachagui umri, rangi, kabila hata dini. Tunajiskia tumependa hata bila kujua exactly tumependa nn. Mi hapa najidai nampenda mrefu kuliko mfupi, mara siku unanikuta nna mfupi na huyo mrefu wala simfikirii tena.
 
Na wale mabinti wanaotoka na babu zao wenye hela tusemeje? tuangalie pande zote za shilingi!!
 
Wiki ilopita nilialikwa kwenye sherehe flani ya kuzaliwa(b'day) ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.Huyu kijana ni graduate amemaliza chuo this year hajapata kazi bado.

Niliskia tu story zake kuwa anatoka na sugermamy mmoja mwenye mihela yake nikawa sijaamini,kweli ujana maji ya moto! si ndo muda wa zawadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!

Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje! ......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.

Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo! so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!

huyo mmama hana rafiki yake anitunze na mimi
 
Munkari, usiwe na wivu kihivyo kwani penzi halichaguwi na ukizingatia vijana wengi wa kibongo fleva siku hizi wanapenda wanawake wenye pesa si hawa wa fesibuku (13 - 30 yrs old) wenye tamaa za kijinga. Ukisalimia tu, dada hali yako utasikia ninunulie bajaj ama nipangishie nyumba Kijitonyama.
 
Last edited by a moderator:
Nimewafikiria wanangu na watoto wa ndugu zangu...tusali sana ...hizi ni siku za mwisho. Nina mtoto wa dada yangu alinisimulia mwenzao college amekufa kwa kulishwa sumu na sugar mummy wake...stori ni kuwa mume alijua kuwa akienda kazini mkewe upeleka chakula kwa dogo. siku hiyo kavizia kaweka sumu kwenye hotipoti...kijana ile anakula tu chaliii...ni chuo cha Dar wala si mbali...niliona kama movie vile. Ukizaa mtoto wa kiume mwenye mvuto ni majanga these days...wanawindwa haooo
 
Kuna wengine nasikia wanajitongozesha...rafiki yangu mlokole mlokole hivi alikuwa na tabia ya kutoa lift...siku moja kijana aliyempa lifti wakati anashuka anamuuliza tutaonana wapi tena, mbona hujanipa number...kha...nkamwambia' ukome. Bado unatoa lifti tu? Huko dunia gani wewe?' Yani dunia imekwisha ukimpa lifti kijana hata kama wa jirani ana conclude unamtaka.
teheeeeeeeeee!!! nina uhakika angempa zawadi ndogo kama saa hivi usingetuhadithia. lol. ila kaka zetu siku hizi mnatisheerrrrr jamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom