Kweli nimeamini ma "sugar mamy" wapo! Loh!

Kweli nimeamini ma "sugar mamy" wapo! Loh!

uzee mwisho chalinze mjini kila mtu BABY!!!!!!!!!
1234749_533219263399058_807357023_n.jpg
 
Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.

Halafu we Munkari unachekesha kweli.
Kwani hili swala la kuwa na wanaume/wnanawake wengi ni wamama tu???? Kwani ni lazima kila mmama awe na ukimwi?? Mbona mabinti ndio wanatisha kwa kuwa na misururu ya wanaume??

All in all mapenz hayachagui umri, labda kweli wamependana seriously na sisi tuliobaki tunapaswa kuwapongeza na kuwapa support kama hivyo mlivyohudhuria sherehe. Si ajabu mkaalikwa kwenye harusi yao.
 
watu8, rafiki yangu na ndg yangu wa karibu, ukweli ni kwamba si kila jambo tunaweza kulinganisha kwa wanawake na wanaume.

Mkuu ni kweli kabisa kuwa mwanaume kulelewa na mwanamke ni jambo lililo kinyume na maadili ya tamaduni haswa zetu Waafrika zaidi ni dhambi kwa sisi tuaminio katika Kristo...

Mimi na wewe tupo sawa kabisa, na matamshi yangu pale juu ni maamshi chokozi nikijaribu kuwachokoza kina mama watueleze kwa nini huwa wanashawishika na kuingia kwenye aina mbili hizi za mahusiano...kulelewa na mwanaume mtu mzima na kulea kijana mbichi.
 
kweli kunyata anyate paka...akinyata kicheche ohh anavizia kuku hata kama alikua anafanya mazoezi...Au kupanda apande mbuzi...akipanda punda tu ohoooo kaua. hii misemo yote nimeiamini....
hivi dada zetu mnavongonoka na wazee umri wa babu zenu... hamuyaoni????????????

Hahaha, mkuu u made my day
 
Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mweyewe, HATA WEWE UKILIPATA HUTAACHA KULINYOFOA FARANGA ZAKE
 
Hakuna duniani urafiki usio na sababu, iwe ni sura au umri au uchumi zote ni sbabu tu za mapenzi. Ubaguzi wa aina yoyote sio mzuri: iwe ubaguzi wa rangi, kabila, jinsia hata ubaguzi wa umri ni sumu pia. Watu wamefungwa miaka 27 kuondoa ubaguzi
ukimuuliza kampendea nini??? anajifariji eti huyu ujana wake inaelekea alikuwa handsome sana!!
 
kweli kunyata anyate paka...akinyata kicheche ohh anavizia kuku hata kama alikua anafanya mazoezi...Au kupanda apande mbuzi...akipanda punda tu ohoooo kaua. hii misemo yote nimeiamini....
hivi dada zetu mnavongonoka na wazee umri wa babu zenu... hamuyaoni????????????

Wanawake ndiyo zao; kaka zao wakitoka na MIJIMAMA wanalalamika!!! Lakini wao wanaona ni halali....
 
Hakuna duniani urafiki usio na sababu, iwe ni sura au umri au uchumi zote ni sbabu tu za mapenzi. Ubaguzi wa aina yoyote sio mzuri: iwe ubaguzi wa rangi, kabila, jinsia hata ubaguzi wa umri ni sumu pia. Watu wamefungwa miaka 27 kuondoa ubaguzi
kha kwa hiyo kama hamna ubaguzi ndio uwe na mpenzi babu yako au bibi yako???
 
Umbeya mtupu. Wamependana wenyewe, wewe nini kinakukera. Umesema, utarudi?? Kama habari zenyewe ndio hizi za kufuatilia maisha ya watu, usirudi kabisa.

haahahaa! Mbona imekuuma hivyo? Mwanamke umbeya kusutwa suna loooh! Ndo nsharejea waache kuhongwa wanashusha hadhi ya uanaume hawachelewi kuwa mashoga! Ptuuu!
 
Mh Munkari mbona umekuwa mkali kana kwamba wasichana hawatembei na babu zao, waambie pia wadada wadogo, tena unaweza kuta early 20s tu waache tamaa watafute agemate zao na wajishughulishe kutafuta riziki na kuzingatia masomo

ni kweli kabisa uyasemayo but imekuwa kawaida kuona vibinti na mibabu zao wenyewe wanasema ng'ombe hazeeki maini! ukifatilia vzuri historia utagundua hilo but vijana nowdays daah! Mabandiko kila siku wanatafuta misugarmami hapa iwalee khaa!
 
Wewe utakua na tabia flani za kiswazi maana kama ulishasikia kijana anatoka na ilo jimama na hiyo tabia huipendi ni kitu gani kilikupeleka hapo? au ulienda ili upate la kuja kusema jf? haya tumekusikia mama......

Kawaida tu mkuu nilienda kuhakikisha tu na kuliona hilo jimama nikajisepea! Raha ya kitu ujionee na c kuhadithiwa mweeeh!
 
God, may your blood separate the soul of the sugar mummy and the young boy so that they do not along, AAAAAAAAAAAAAAAMEEEEEEEEEEEEN!

bora mwaya uwaombee mana wanastaajabisha jamii!
 
Pole saana kwan ndo mara ya kwanza kuona eeeh,, now days ndo njia rahisi ya ma men kutoka kimaisha na zaidi ya hapo ni madawa na ushoga!! naomba mnisamehe coz me pia inaniboaga sana na sipendi hizi tabia that while napenda sana maisha yangu ya kimasikini na kijikazi changu cha laki 4,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom