Wiki ilopita nilialikwa kwenye sherehe flani ya kuzaliwa(b'day) ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.Huyu kijana ni graduate amemaliza chuo this year hajapata kazi bado.
Niliskia tu story zake kuwa anatoka na sugermamy mmoja mwenye mihela yake nikawa sijaamini,kweli ujana maji ya moto! si ndo muda wa zawadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!
Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje! ......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.
Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo! so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!
source? nini maana ya 'kuoa'?
mwache kijana katoa huduma katunukiwa......... na wewe wataka?
Horsepower kwahiyo huyu mmama na kijana wangekuwa na ndoa ingekuwa sawa kutunzwa?
Kwa kifupi si sahihi kwa kijana kuwa na mahusiano na mama mtu mzima na hivyo basi hata ndoa za namna hii nazo pia hazikubaliki kwa muktadha huo huo! Na pia hata matunzo ya namna nayo pia hayakubaliki!
Au point yako ni nini sasa hapo!
Point yangu ni kuwa vijana waache kutafuta short cut za maisha kwa kuuza heshima na utu wao kwa kwenda kuwekwa ndani na misugar mummy inhali wana akili na nguvu za kufanya kazi na kujipatia vipato halali. Vitendo wanavyovifanya wanajidhalilisha na kujishushia thamani.
Tatizo ni umri au ni nani anapaswa kumtunza mwenzie katika uhusiano? iwe kabla ya ndoa au ndani ya ndoa.
Vyote ni matatizo, umri ni tatizo na hususan kijana anapoamua kukaa na mama mwenye umri sawa na mama yake mzazi! Na hata suala la nani amtunze mwenzake nalo pia ni tatizo, maana kuna baadhi ya vijana wanataka kugeuka kuwa watoto wa kike kwa kutaka kulelewa na kusahau kuwa wao pia wanapaswa kuwalea wenzi wao!
Kibibi Jongo pole kama nimeshindwa kueleweka, ila majibu yangu yako kwenye italic kama ifuatavyo ....
Kibibi Jongo pole kama nimeshindwa kueleweka, ila majibu yangu yako kwenye italic kama ifuatavyo ....
Kweli tupu niamini babyusinambie! Kuliko baiskeli?
Munkari naona una munkari na kijana kugegeda jimamaadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!
Wiki ilopita nilialikwa kwenye sherehe flani ya kuzaliwa(b'day) ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.Huyu kijana ni graduate amemaliza chuo this year hajapata kazi bado.
Niliskia tu story zake kuwa anatoka na sugermamy mmoja mwenye mihela yake nikawa sijaamini,kweli ujana maji ya moto! si ndo muda wa zawadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!
Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje! ......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.
Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo! so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!
Wewe utakua na tabia flani za kiswazi maana kama ulishasikia kijana anatoka na ilo jimama na hiyo tabia huipendi ni kitu gani kilikupeleka hapo? au ulienda ili upate la kuja kusema jf? haya tumekusikia mama......
Aisee,, ningempata kama uyooWiki ilopita nilialikwa kwenye sherehe flani ya kuzaliwa(b'day) ya kijana mmoja hapa mtaani kwetu.Huyu kijana ni graduate amemaliza chuo this year hajapata kazi bado.
Niliskia tu story zake kuwa anatoka na sugermamy mmoja mwenye mihela yake nikawa sijaamini,kweli ujana maji ya moto! si ndo muda wa zawadi ukafika aiseee nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party! hata aibu hana Loh!
Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje! ......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.
Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo! so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!