Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 333
mwe kazi kweli kweli....,wazazi wake walikuwepo
Harafu nilitaka kumuuliza hvyo, aiseee!
mwe kazi kweli kweli....,wazazi wake walikuwepo
Kuzaliwa masikini si kosa lako, ila kuwa na mahusiano ya kimapenzi na masikini ni upimbavu wako..... YAANI MTU APATE SHIDA IN THE NAME OF AGE..???Kijana amezingatia atoke vp ,kupunguza njaa
usokute hata wazazi nao ni mashuga mami/dadi wa wengine, hivyo hawawezi kushangaaHarafu nilitaka kumuuliza hvyo, aiseee!
ujumbe uwaendee pia wadada wanaotoka na mibaba saizi ya babu zao tena ni waume za watu. jaman mnatesa familia za wenzenu, sio vizuri
this is clear now sweetiehaahaa! Dear statement zingine hazina mashiko so hata kujibu unaloose some energy jamani ,mi na wewe kama kunguru wa zanzibar! Loh!
mwache kijana katoa huduma katunukiwa......... na wewe wataka?
haahaahaa! Umemalizaaaaa!
Nimewafikiria wanangu na watoto wa ndugu zangu...tusali sana ...hizi ni siku za mwisho. Nina mtoto wa dada yangu alinisimulia mwenzao college amekufa kwa kulishwa sumu na sugar mummy wake...stori ni kuwa mume alijua kuwa akienda kazini mkewe upeleka chakula kwa dogo. siku hiyo kavizia kaweka sumu kwenye hotipoti...kijana ile anakula tu chaliii...ni chuo cha Dar wala si mbali...niliona kama movie vile. Ukizaa mtoto wa kiume mwenye mvuto ni majanga these days...wanawindwa haooo
Itakuchanganya sana maana... we acha tu! Naendelea vizuri, asante.Hahahah...itanichanganya eenh!
Natumai waendelea vyema mpendwa...
haaha! Mara 20 kabisaa! Tamaa hizi! mweeh!
Dada yangu Munkari hiyo ndiyo haki sawa kwa wote, wakati wakina dada wanatoka na Babu/Baba zao huku nako masela wanabanjuka na Bibi/Mama wanaomilikiwa na hao hao.
Hapo tuliosoma "Chemistry" tunasema, Balanced Equation. 2H[SUB]2(g)[/SUB] + O[SUB]2(g)[/SUB] -> 2H[SUB]2[/SUB]O[SUB](l)[/SUB], na watu wanakunywa maji.
haahaahaa! Umemalizaaaaa!
kweli kunyata anyate paka...akinyata kicheche ohh anavizia kuku hata kama alikua anafanya mazoezi...Au kupanda apande mbuzi...akipanda punda tu ohoooo kaua. hii misemo yote nimeiamini....
hivi dada zetu mnavongonoka na wazee umri wa babu zenu... hamuyaoni????????????