Kweli nimeamini ma "sugar mamy" wapo! Loh!

Kweli nimeamini ma "sugar mamy" wapo! Loh!

Soma hiyo sign ya mwenzio kama lugha ilokuja na ndege haikupi shida.
Asnam
28th August 2013 16:06




JF Senior Expert Member Array






[h=2]"Love does not need a reason. Pure love will come from the heart without reason and it'll stay every season."[/h].
"Love does not need a reason. Pure love will come from the heart without reason and it'll stay every season."
 
Kwa wadada naona ndo swagger siku hizi unakuta katoto kadogoooo kako na lizee la miaka hamsini jamani hivi ukimchojolea nguo babu yako huyu huoni aibu jamani!wadada komaeni acheni kupenda vya watu mnatesa nyumba za watu na mnalaaniwa.
 
nikamwona mmama mtu mzima kasimama kachukua maik na kusema 'namzawadia mpenzi wangu gari' ,kijana yupo hightable anachekacheka tu utadhani binti anayefanyiwa kitchen party!

Nadhani hapa mwenye tatizo ni wewe
Hivi ni wapi umesoma kuwa kuna maelekezo ya umri wa wanandoa/wapenzi?

hata aibu hana Loh!

Vipi kuhusu wewe ulieondoka kwenu kama mwandishi wa magazeti ya udaku kwenda kufuatilia maisha ya watu na kuyaleta JF?

Huoni aibu?

Akakabidhiwa funguo ya gari na hilo limama na mahela juu kama miss Tanzania! Kijana meno 32 yote nje!

Inaonekana hiki ndio kilichokutoa roho!
......daaah! Kwa staili hii ukimwi utaisha kweli? Kwasababu siamini kama huyo mama ana huyo kijana pekee lazima atakuwa na mume au mibwana mingine ! Na kijana naye atakuwa tu na agemate wake.

Yaani watu wengine bana
Kwanza ulikua unasikia tu kuwa kijana anatoka na huyo mama,hii inamaana kuwa hukua na uhakika
Hapa uasema huamini kama huyo mama ana huyo kijana tu
Una matatizo makubwa wewe
Sekunde kadhaa ulikua hujui sasa unadai huamini kama huyo mama ana huyo kijana tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ni kitu gani kilikufanya usiamini uwezekano wa huyo mama kuwa na huyo kijana kimahusiano?
Halafu baada ya muda mfupi ni nini kilikufanya uamini kuwa huyo mama nana watu wengine?

Aisee sijui kwanini nimesikitika hivyo!

He!!!!!!!!
Hujui ni kwanini umesikitika hivyo?????????
Unakumbuka ulichokisema mwanzoni??
Kumbe tuhuma zote zile ulikua hujui ni kwanini unazitoa!!!!!!!!!
JF kuna maajabu sana siku hizi!!!!!!

so,vijanaa!tafuteni kazi Fanyeni kazi msipende vya bure jamani acheni kutembea na mama zenu mnajidharirisha ohoo mtakufa siku si zenu shauri yenuu ! ...ntarudi!

Hta hapa hujui ni kwanini unasema haya?


Halafu mwanzo ulisema kuwa huyo kijana amemaliza chuo siku sio nyingi
Hukusema hatafuti kazi,so umejuaje haya?

Hapa huenda kuna mambo yafuatayo:
Moja:kuna ka jamaa ulikagharamia sasa kamekumwaga hivyo unatumia hili tukio kujitafutia nafuu
Pili hii story ni ya kutunga!
 
Aaaaaaaaaaaahaaaaa kumbe nimeshajuwaaaaaaaaaaaaaaa!
Umemzimikia kia umempenda pia kijana HB sio kiviile, ila kwa ule mtiti unajuwa huwezi kumchomoa!
pale kwa jimama! Kumbe huwezi kulumangia ugali wa kachumbari kachumbari!

haahaahaa! Daah! Nnawangu kifaa cha maana so hapa cna jibu!
 
Nadhani hapa mwenye tatizo ni wewe
Hivi ni wapi umesoma kuwa kuna maelekezo ya umri wa wanandoa/wapenzi?



Vipi kuhusu wewe ulieondoka kwenu kama mwandishi wa magazeti ya udaku kwenda kufuatilia maisha ya watu na kuyaleta JF?

Huoni aibu?



Inaonekana hiki ndio kilichokutoa roho!


Yaani watu wengine bana
Kwanza ulikua unasikia tu kuwa kijana anatoka na huyo mama,hii inamaana kuwa hukua na uhakika
Hapa uasema huamini kama huyo mama ana huyo kijana tu
Una matatizo makubwa wewe
Sekunde kadhaa ulikua hujui sasa unadai huamini kama huyo mama ana huyo kijana tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ni kitu gani kilikufanya usiamini uwezekano wa huyo mama kuwa na huyo kijana kimahusiano?
Halafu baada ya muda mfupi ni nini kilikufanya uamini kuwa huyo mama nana watu wengine?



He!!!!!!!!
Hujui ni kwanini umesikitika hivyo?????????
Unakumbuka ulichokisema mwanzoni??
Kumbe tuhuma zote zile ulikua hujui ni kwanini unazitoa!!!!!!!!!
JF kuna maajabu sana siku hizi!!!!!!



Hta hapa hujui ni kwanini unasema haya?


Halafu mwanzo ulisema kuwa huyo kijana amemaliza chuo siku sio nyingi
Hukusema hatafuti kazi,so umejuaje haya?

Hapa huenda kuna mambo yafuatayo:
Moja:kuna ka jamaa ulikagharamia sasa kamekumwaga hivyo unatumia hili tukio kujitafutia nafuu
Pili hii story ni ya kutunga!
Eiyer huyo!!!
 
Last edited by a moderator:
Heheheh....lakini angelikuwa ni binti mduchu anazawadiwa fweza za kutosha na zee jitu zima...aaah wadada mngepiga makofi na si ajabu nanyi mngetamani muwe na mtu kama huyo!!

Bado naendelea kutaka kujua namna wanawake wanavyowaza aisee, mabesti zangu namomba mnisaidie
Rafiki wala usisumbuke kujua wanawake wanavyo waza maana .......... mnh!
 
Sugar mummy wapo tena wengi tu, na ukweli ni kwamba huwa nakereka sana kusikia kijana mwenye nguvu zake na akili zake timamu anawekwa ndani na sugar mummy na kuanza kuhudimiwa, kweli huwa nasikitika sana maana mchezo huwa ni sawa kabisa na kijana kushindwa kujitambua kuwa yeye ni nani ana wajibu gani katika jamii iliyomzunguka.

Mwanaume ni kichwa na kiongozi wa nyumba kwa mujibu wa vitabu vya dini, na kitendo cha kuikataa hadhi na heshima uliyopewa ya kuongoza nyumba, inaweza kumuingiza mpaka kwenye hatari ya kwenda kuwekwa kimada na mwanaume mwenzake endapo hilo jimama litampiga chini na akakosa shughuli ya kumpa kipato. tabia hizi huwa wafanya vijana wa namna hii wabetweke na kugeuka watu wa kupenda starehe na kutunzwa bila kujishughulisha. Huu ni uanaume wa aina gani huu?

Nakushukuru kwa kulizungumzia hili suala. Ni aibu vijana, hebu tuache upuuzi huu, na tufanye kazi na kula kwa jasho la mikono yetu wenyewe.



watu8, rafiki yangu na ndg yangu wa karibu, ukweli ni kwamba si kila jambo tunaweza kulinganisha kwa wanawake na wanaume. Suala la mwanaume kuoa binti mdogo si sawa na kijana kwenda kuoa mama mtu mzima. Kiutamaduni na kiimani tangu enzi na enzi hali ilikuwa hivyo. Lakini huo mchezo ulioingia sasa wa vijana kuoa mijimama, si kwa sababu ya mapenzi waliyonayo kwao, bali kuwageuza hao miradi. Na hii imewafanya baadhi yao kuwa wazembe, wavivu na watu wasiojituma kwenye kazi. Wamepoteza hadhi na sifa za kuwa wanaume jambo ambalo ni hatari sana.

watu8 sijui wanawake watawaza nini, lakini ktk hali hii, wanawake ni haki yao kutunzwa na wanaume. Mwanaume ni lazima awe mkuu wa nyumba na mtunzanji na mlinzi wa hiyo familia. Mwanamke anaweza kumtunza mwanaume tena hasa wa ndoa lakini si kwa staili hii ya vijana kutunzwa na mimama.

Horsepower kwahiyo huyu mmama na kijana wangekuwa na ndoa ingekuwa sawa kutunzwa?
Au point yako ni nini sasa hapo!
Tatizo ni umri au ni nani anapaswa kumtunza mwenzie katika uhusiano? iwe kabla ya ndoa au ndani ya ndoa.
 
Last edited by a moderator:
haahaahaa! Daah! Nnawangu kifaa cha maana so hapa cna jibu!

Sasa kama una wako, pilipili usioila yakuwashia ni? We umebahatika kupata kijana mwenzio mmama pengine hakupata Mzee mwenzie, au kafa!
Unajuaje kama kijana ni mvivu? Mbona wako vijana wavivu na hawana mashuga Mami?
Mbona na wasichana wadogo wanachukuliwa na mashuga daddy? Na wao tuwaiteje?
Saa nyingine mume wake huyo mmama kachukuliwa na kibinti kidogo pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom