Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
- Thread starter
- #41
nilishawai kupenda sis tena sana with all my heart na uaminifu na uvumilivu wa 100% kumbe alikuwa ananiienjoy akanimwaga hata sijui kwanini?If you don't mind naomba nijibu kama ushawahi penda.....
and the list goes on why me? nimechoka wapo wababa wa maana tu wananitaka natoka hapo na mmoja nimechoka