I am just afraid that, hata hao wazee wanaweza kukuonja wakatimua!! Kuna watu huwa hawataki kuwaeleza wenzao ukweli kwenye mahusiano. Ngoja nikuambie kitu lakini si lazima kiwe 100% correct, "Yawezekana kuna tatizo namna unavyozihandle hizo relationships au watu/men hawafurahishwi na mashine yako kutokana na jinsi ilivyo, hiyo ilishanitokea mara nyingi tena sana mwanaume unakuwa na expectation kubwa na mashine ya mtu unayemfukuzia matokeo yake unakutana na kitu cha ajabu". Cha kufanya, najichukulia mwenyewe! kama mashine yako sijaipenda na hunionyeshi mambo extra, napata shida sana. lakini ukinionyesha vitu extra, utakuwa umemaliza mchezo, I will stick to you baby.
So mind my word, kuna hilo suala la machine, masharobaro wengi wanawakimbia/mwaga mademu kwa sababu either ya machine zao au tabia (kutaka kuweka ubeijing kwenye vitu vidogo vidogo mapema kabla hata hamjafika mbali kitu ambacho masharo bado hawajawa tayari kuukubali ubeijing si bongo tu hata ulaya). Hata hao wazee, utakayempata naimani utalazimika kufanya mambo extra ambayo unaweza kuyafanya kwa vijana wenzako na ukafurahia maisha.