WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Teh teh teh... najua utarudi kwa vijana baadae.
heri niwakubali hawa wazee wanaonitongoza nitafaidi hata mahela kuliko kuendelea kudanganyika na hawa vijana na kuumia moyo kila siku potelea mbali
never again endeleeni kuuza zenu sura huko
heri nitafute lizee nizae nalo hata watoto wangu watakuja kuniangalia huko mbeleni potelea kule sitaki tena nimechoka nije kufa pressure mtoto mdogo mimi wazazi wangu wamenisomesha kwa shida kwanza nife nini kisa mapenzi
una miaka mingapi? nataka 50 kwenda juu
ninao kibao kwenye waiting list nimechoka na wauza sura
Sema unachoongea hapa ni joke plzz...cuz mi nachofahamu u belong to me!ndo hao sasa nawataka
wala nakataa hiyo yupo sana sema tatizo sisi binadamu tunapenda vitu vya haraka haraka ndio maana tunaangukia pabayahayupo ananipenda nimechoka bwana kweli nimechoka
Da, Husninyo kwan hujui ki-small house chafaidi kuliko nyumba kubwa, tuacheni sie, tushafanya maamuzi, tena mepesi.
Jamani kaushauri tu kadogo kwa dada zangu (sio lazima kuwa relevant sana na case ya Smile)
Muwe makini na kupenda vijana wa kiume ambao hata akili ya kimaisha hawana na wala akili zao hazioneshi kuwa tayari kubeba majukumu....mtu amekaona kavulana kazuri (mnaita handsome nasikia wengine mnasema sharobaro) na kwa sababu kanapendeza kutembea nako barabarani basi unajiachia jumla jumla na kumwagia hadi sakafu ya mtima wako wakati kenzako kana waza kwa uono sawa na mwisho wa tumbo lake
Watch out mtaishia kuumia sana jamani na si jambo jema
ahsante kwa ushauri. Wenye masikio tumeskia.
wenzako wanakimbillia hivyo sijui ndo visharobaro (havina mbele wala nyuma zaidi ya kuuza tu)