kweli mapenzi ya vijana yanautesa moyo

kweli mapenzi ya vijana yanautesa moyo

heri niwakubali hawa wazee wanaonitongoza nitafaidi hata mahela kuliko kuendelea kudanganyika na hawa vijana na kuumia moyo kila siku potelea mbali
Kuna ile thread uliyoiacha love-connect yenye masharti kibao,kwanza nimeipenda picha hii kwenye avatar yako,hata kama sio yako inatujuza we ni mtu wa aina gani kwa kuichagua,pili mimi niko over 40 na ukitaka nitakutumia cheti cha kuzaliwa tena cha Tanganyika meaning before 1964.
 
Kuna ile thread uliyoiacha love-connect yenye masharti kibao,kwanza nimeipenda picha hii kwenye avatar yako,hata kama sio yako inatujuza we ni mtu wa aina gani kwa kuichagua,pili mimi niko over 40 na ukitaka nitakutumia cheti cha kuzaliwa tena cha Tanganyika meaning before 1964.

lol....kazi ni kwake sasa lol
 
Kuna ile thread uliyoiacha love-connect yenye masharti kibao,kwanza nimeipenda picha hii kwenye avatar yako,hata kama sio yako inatujuza we ni mtu wa aina gani kwa kuichagua,pili mimi niko over 40 na ukitaka nitakutumia cheti cha kuzaliwa tena cha Tanganyika meaning before 1964.

Invitation to treaty?
 
Smile pole sn sn,
mi kwakuwa muhanga kmww nlishawah kufkirha hvyo wakt nikiwa namaumiv ya hal ya juu kutoka kwa hao vjana,
badae nkaona ni vzuri niu2lize moyo ncwe na pupa ya kutafta m2 haraka kwakuwa 2 nina msongo!
naomba nkwambie nawe ufanye hvyo kwan mara nyng 2napotoka ktk uhusiano kwa sababu ya kuumia,ule msongo unafanya twende kwingne ili kujilinda,!matokeo yanakuwa mabaya kwan m2 unakuwa hauja2lia vyakutosha kutafta kwa nini umeachwa ni ww ndo tatzo au mwenzio!
ss kwakuwa haulijui tatzo (na inawezekana ww ndo tatzo)unaenda kwa mwingne unarudia kosa lilelile unapata kbut tn,ss utaendelea kupgwa vbt mpaka utakapoamua ku2lia na hapo ndo wakwel anapojtokeza!!
hao vbab nao wapo kbao feki unaweza jtosa unakuja shangaa unaongwa mwez wa 1 2 baada ya hapo anakuwa haeleweki.utaumia plz tn itakuuma kuona doh ht kbab knantosa,naomba 2ckupoteze 2lia best hata km utampata babu utampata ukiwa ume2lia itakufanya umpate bab wa ukweli.
 
Kuna ile thread uliyoiacha love-connect yenye masharti kibao,kwanza nimeipenda picha hii kwenye avatar yako,hata kama sio yako inatujuza we ni mtu wa aina gani kwa kuichagua,pili mimi niko over 40 na ukitaka nitakutumia cheti cha kuzaliwa tena cha Tanganyika meaning before 1964.

mmmmh! Shkamoo babu.
 
heri niwakubali hawa wazee wanaonitongoza nitafaidi hata mahela kuliko kuendelea kudanganyika na hawa vijana na kuumia moyo kila siku potelea mbali

duhhh na wewe umeonaee! Mimi kuwa na jimama nimeona mbali.
 
smile,wala mimi sikupi pole.mchezo mzima ushaumaliza,yanini ukate tamaa? Sitback n relax, challenges za mapenzi ya vjana nazo ukizchukulia.as an element of love zinaongeza utamu wa mapenzi kama vile kutia sukari ktk juice ya ukwaju! Inaonekana ww unataka zkimbia changamoto. Huko u will find nothin,and u will become nothing. Wazee watakuzeesha
 
heri niwakubali hawa wazee wanaonitongoza nitafaidi hata mahela kuliko kuendelea kudanganyika na hawa vijana na kuumia moyo kila siku potelea mbali

naunga mkono hoja. bora haya majimama yanayotulea na kutujali kuliko visista du vinavyotaka tugharamie tusivyoweza.
 
Kuna ile thread uliyoiacha love-connect yenye masharti kibao,kwanza nimeipenda picha hii kwenye avatar yako,hata kama sio yako inatujuza we ni mtu wa aina gani kwa kuichagua,pili mimi niko over 40 na ukitaka nitakutumia cheti cha kuzaliwa tena cha Tanganyika meaning before 1964.
mmmmh wewe hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom