Mamamkwe
Senior Member
- Apr 8, 2011
- 128
- 57
heri nitafute lizee nizae nalo hata watoto wangu watakuja kuniangalia huko mbeleni potelea kule sitaki tena nimechoka nije kufa pressure mtoto mdogo mimi wazazi wangu wamenisomesha kwa shida kwanza nife nini kisa mapenzi
Mwanaume hana umri hao wazee wenyewe tegemea nao kukuumiza.Kwanza hautakuwa na raha nae,mapenzi ya kujificha usikamatwe na mkewe.Utatafuta matatizo zaidi.Tulia ipo siku mwenye ubavu wake atakutokea.