miss kitongoji
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 662
- 625
Sasa mshana jr umejuaje kuwa ndani ya kaburi kuna siri nyingi tusizozijua?View attachment 489399nimerejea kwenye mfululizo wetu ule wa makala zinazohusiana na kiama kifo kuzimu makaburini na hata mochwari
Ndani za hizo makala kuna nyingine ni za kutiana moyo na kuondoana hofu huku nyingine zikielezea dhana mbalimbali na nyingine zikiwa ni masimulizi ya kweli
Nia yangu si kuleta hofu wala kumtisha mtu bali kupandikiza mbegu ya uzoevu katika vitu visivyozoeleka.... Hasa kifo View attachment 489422
Hofu ya wengi kwenye kifo ni hii
Kwamba hatutaonana na wapendwa wetu tena
Kwamba miili yetu hii itaharibika na kuoza kabisa
Kwamba hatuna hakika na huko tuendako
Kwamba je ni kweli kuna pepo jehanam au rebirth/reincarnation?
Kwamba tunaachana na starehe za dunia hii na mali zote tulizochuma?
Lakini kubwa zaidi ni ule upweke kile kiza na zile kilo za mchanga ndani chini ya kaburi pekeyako kabisa .....na zile hari za kifo mwili unapotengana na roho I mean yale mateso yake zile dakika na sekunde za mwisho
Mbali ya hayo yote ni zile fikra za wale wapendwa wetu waliotangulia huko, kwamba wako wapi sasa na wanafanya nini huku ukionyeshwa mapicha ya marehemu Waliobaki mifupa tuu.....
Usimlaumu anayeogopa kifo ndani ya kaburi lililofunikwa kuna siri nyingi tusizozijuaView attachment 489418
Wewe umeongea point kubwa sana, laiti wengi wangekuelewa.Watu huwa wanaogopa kufa kwa kujua kuwa kuna Mungu. Zile polojo za kuwa hakuna Mungu ni maneno ya uhai tu!
Atuonyeshe hivyo vyeti vyake alivyo barikiwa na Mungu mpaka akamfufua binadamu mwenzakeNaskia gwajima alimfufua mtu angeleta ushahidihapa, amawaliimuona huyo aliefufuliwa waje waseme alisema alikuwa wapi.
Hebu tuongee tu ukweli...SIZONJE akifa ataenda wapi?Mmh mambo ya kiroho ngumu sana kuwa na ithibati kama zile za kisayansi ambazo nazo pia si timilifu
Exactly .....hii safar inaitaji maandaliza ila nani alishawah jiandaa kwa huu ulimwengu wa sasa ?Marehemu mtarajiwa
Mshana at his bestVery very wonderful experience, yani mtu unaweza kutamani kuendelea kufa
We are more than this body. Are you using your mind or the mind is using you?wacha kunilisha tongo pori![]()
mimi nmewahi kuexperience ,vile kama pumzi inakata....
kwanza mawasiliano yanakata unasikia kimya... halafu unaanza kuona ndo basi tena ,kile kitendo cha kuona ndo basi kibaya usisikie...
halafu unaanza kuota vitu vya ajabu unamfata mtu unamuita haitiki, unaongea na watu wanaendelea na mambo yao.
unalia mno
hapo sikufa ,nilionja ⅓ yani nilionja kama punje ya choroko
kufa kubaya sana
kaka mshana sitaki kuamini
Safi sana Mk... Umenichefua ulipoandika afraiding .... There's no such a word in this world.Uoga wa kifo unakuja hasa kutokana na family zetu tunazotoka,generation ya sasa hivi wazazi hawakai hata siku moja kujadili na watoto zao kuhusu kifo,we try to pretend kama vile we won't leave this place,we try to mask the truth of death matokeo yake ni kwamba watoto wanasikia juu juu tu huko mitaani,so they have nothing to learn,zaidi ya ku create fear .
Katika family nyingi kujadili mambo ya kifo ni kama kuleta nuksi ndani ya nyumba,hii ni dhana iliyogeuka kua imani.Matokeo yake hakuna anae appreciate death ,tunakichukulia kifo ni kama adhabu,nuksi,balaa ,mateso.Yaani mtoto wa 19 yrs old aliefiwa na mzaz wake anapata wakati mgumu sana ku understand what is up,kwanini imetokea kwake ,maisha yake yatakuaje bila mzazi,wengine wanafikia hatua ya wao kutaka kufa pia,Yupo jamaa yangu hakufanya mtihani Wa form 4 kwasababu siku mbili kabda ya necta mzaz wake alikufa,imagine and the guy was very smart darasani ,hizi ni athari kwasababu wazazi hawapo open and honest kwa watoto wao juu ya the truth about death.
Hili ndiyo tatizo kubwa ambalo limetengeneza Uoga usiokuwa na maana yoyote ,kwasababu uoga wako hauzuii kifo kutotokea ,badala yake unakuzuia wewe kujifunza zaidi.
What are we afraiding? Are we afraiding the Truth or losing our life ?
Nadhani imefika wakati sasa wazazi wawe honest na watoto wao ,wawaelimishe na kuwapa ujasiri kua hakuna tatizo katika kifo,It is just the way of life .We are here to learn ,grow ,develop and die .Some die first to give lesson to others.
That's all it is .
This might mean going beyond the reasoning mind.It's a new Era of LIVING,,, The Sky is no longer the Limit.
LIVE BEFORE YOU DIE!
Mshana, watu wengi hawajui yakuwa our reasoning mind is very limited.Mmh mambo ya kiroho ngumu sana kuwa na ithibati kama zile za kisayansi ambazo nazo pia si timilifu