Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

Kwanini wengi hukiogopa kifo /kufa?

It's a tragedy to know that with over seven billion people on this planet today, only a minute fraction will experience a significant fraction of true LIVING. Majority are just EXISTING and then DIE without Living. It's more tragic to see great population is likely to follow the same path.....

LIVE BEFORE YOU DIE..!
Umeitendea haki username yako
 
Mimi kifo sikiogopi, alianza kufa mama alipata ajali ya bus nimetoka kumsindikiza asubuhi ibungo mida ya mchana tumeongea akasema karibia afike nusu saa napigiwa simu kuna ajali na mwanye simu amefariki,, wacha kabisa nilikuwa kazini sikuaga kiumbe nilichomoka, mshua Nae alishazipata habari tukafarijiana. Alafu unakuwa auamini hadi ukishazika.... Miaka michache nikampoteza tena mzee aliumwa ghafla kumpeleka hosp asubuhi kesho yake Muda kama alioripoti hosp akatutoka..... Kufiwa kunauma asikuambia mtu..... Mzee na mama walikuwa watafutaji Sana na kama ni urithi wameacha wa kukumbukwa..... Waliangaika Sana walijitesa usiku na mchana kununua maeneo kujenga nyumba zote wameziacha na awakuna mawazo kama watakufa mapema hata Mimi sikuwai kuwaza vifo vyao.... Mimi Bado Nina mipangp mingi Sana kichwani na kuna vitu nataka kuvifanya Ila ninapowaza kifoooooooo ninavyunjika Moyo Nipo above 25.last Saturday nilikuwa kilimanjato st marygoreti graduation ya mdogo wangu nikasalimiana na mzee mmoja na yeye alikuja kwenye graduation ya mtoto wake, ninavyoandika Nipo kwenye msiba wa huyo mzee alipata ajali alhamisi usiku maeneo YA mlandiz bahati mbaya alifariki. Mshana Jr. Ebu toa wazo kijana wa mzee anae subiri kuanza paper la six mwezi may tumpe taarifa au tuuchune na kuna mdogo wake yupo form three hapohapo yeye atakuwa likizo YA Ester next week atakuja nyumban na atapata taarifa zote na baada YA Wiki mbili atarudi shule ataweza kujizuia akionana na ndugu yake asiweze kumwambia majanga yaliyopo nyumbaniii.... Ebu oneni kifo kilivyo hadi kuna wakati nasema kwanini Mungu aliweka kifo....
 
Mimi kifo sikiogopi, alianza kufa mama alipata ajali ya bus nimetoka kumsindikiza asubuhi ibungo mida ya mchana tumeongea akasema karibia afike nusu saa napigiwa simu kuna ajali na mwanye simu amefariki,, wacha kabisa nilikuwa kazini sikuaga kiumbe nilichomoka, mshua Nae alishazipata habari tukafarijiana. Alafu unakuwa auamini hadi ukishazika.... Miaka michache nikampoteza tena mzee aliumwa ghafla kumpeleka hosp asubuhi kesho yake Muda kama alioripoti hosp akatutoka..... Kufiwa kunauma asikuambia mtu..... Mzee na mama walikuwa watafutaji Sana na kama ni urithi wameacha wa kukumbukwa..... Waliangaika Sana walijitesa usiku na mchana kununua maeneo kujenga nyumba zote wameziacha na awakuna mawazo kama watakufa mapema hata Mimi sikuwai kuwaza vifo vyao.... Mimi Bado Nina mipangp mingi Sana kichwani na kuna vitu nataka kuvifanya Ila ninapowaza kifoooooooo ninavyunjika Moyo Nipo above 25.last Saturday nilikuwa kilimanjato st marygoreti graduation ya mdogo wangu nikasalimiana na mzee mmoja na yeye alikuja kwenye graduation ya mtoto wake, ninavyoandika Nipo kwenye msiba wa huyo mzee alipata ajali alhamisi usiku maeneo YA mlandiz bahati mbaya alifariki. Mshana Jr. Ebu toa wazo kijana wa mzee anae subiri kuanza paper la six mwezi may tumpe taarifa au tuuchune na kuna mdogo wake yupo form three hapohapo yeye atakuwa likizo YA Ester next week atakuja nyumban na atapata taarifa zote na baada YA Wiki mbili atarudi shule ataweza kujizuia akionana na ndugu yake asiweze kumwambia majanga yaliyopo nyumbaniii.... Ebu oneni kifo kilivyo hadi kuna wakati nasema kwanini Mungu aliweka kifo....
Mhh Mmh pole sana sana Mimi mtoto wa mjomba aliyekuwa form four zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya mitihani ya taifa finals babaake alifariki... Baada ya kushauriana sana tukakubaliana tumwambie tu ukweli na aendelee tu na mitihani yake
 
Uzuri wa kifo ni kuwa
Pale ambapo kifo kipo binadamu hayupo na pale ambapo binadamu yupo kifo hakipo, ukifa unakuwa haupo so hakuna haja ya kuogopa, na unaogopa kwa kuwa upo.
Wala haina haja ya kutishana, kifo ni moja ya ugunduzi bora kabisa kuwahi tokea ulimwenguni, kinatoa chance ya kizazi kimoja kurithisha dunia kizazi kingne.
Mi naogopa mno kufa ,,,na kuna watu hivi kama 7 nikiwemo mim sitaki wafe kabisa huwa nawaombea kila siku wasife ,mpaka huwa nalia naomba sana ,,na huwa najuta kwanini tulizaliwa halaf tunakufa ,kaburi linatisha sana cc Mwanamutapa
 
Mi naogopa mno kufa ,,,na kuna watu hivi kama 7 nikiwemo mim sitaki wafe kabisa huwa nawaombea kila siku wasife ,mpaka huwa nalia naomba sana ,,na huwa najuta kwanini tulizaliwa halaf tunakufa ,kaburi linatisha sana cc Mwanamutapa
 
Mi naogopa mno kufa ,,,na kuna watu hivi kama 7 nikiwemo mim sitaki wafe kabisa huwa nawaombea kila siku wasife ,mpaka huwa nalia naomba sana ,,na huwa najuta kwanini tulizaliwa halaf tunakufa ,kaburi linatisha sana cc Mwanamutapa
Death is not to be feared! It's one of the state of which you should smile at. When you know 'Why you have Life ' and start to live accordingly, you'll find Death to be a motivator and not an inhibition fact. Live Fully, Die empty, smile at your Death.

LIVE BEFORE YOU DIE!
 
Death is not to be feared! It's one of the state of which you should smile at. When you know 'Why you have Life ' and start to live accordingly, you'll find Death to be a motivator and not an inhibition fact. Live Fully, Die empty, smile at your Death.

LIVE BEFORE YOU DIE!
Era of reasoning
 
Kuna kipindi nilikua naogopa sana yote kuhusu kifo ila baada ya kufiwa na mtu wangu wa karibu sana siogopi kifo,naogopa kuoza tu baada ya kufa.
Unaogopa kuoza baada ya kufa! kwani utashuhudia ukioza?
 
Siogopi kifo ila naogopa kaburi, ile hali ya kuzikwa mwenyewe uwii nikifikiria nakosa raha!!
hutaogopa kuzikwa kwa sababu utakuwa haupo. wale wakristo biblia imeandika "wafu hawajui neno lolote" kufa ni lazima wamekufa watu maarufu sana tangu kuumbwa kwa dunia sembuse sisi?
 
Sio kukaribia tu, nimeshawahi kupractice death meditation ile ya kuwekwa kabisa kwenye jeneza na kufungiwa chumba chenye giza totoro kuanzia saa sita usiku hadi saa tisa ile mida ya wanga
Ukianza kugusia hapo Mimi napata hali Fulani hv ya kutaka uendelee,ila mkuu hata hujali
 
Mkuu mshana naomba ufafanuz kuhusu haya-

1. Kuna connection gan Kati ya roho Na mwili kiasi kwamba kuwe Na maumivu Na mateso wakati wa kutengana kwa vitu hivi?

2.kuna sababu gani zinazoweza sababisha kifo zaidi ya hiz za kawaida>>maradhi, ajali Na uzee?

3.vipi suala la kuchomwa jehanamu lipo?

Thankyou
 
Uzuri wa kifo ni kuwa
Pale ambapo kifo kipo binadamu hayupo na pale ambapo binadamu yupo kifo hakipo, ukifa unakuwa haupo so hakuna haja ya kuogopa, na unaogopa kwa kuwa upo.
Wala haina haja ya kutishana, kifo ni moja ya ugunduzi bora kabisa kuwahi tokea ulimwenguni, kinatoa chance ya kizazi kimoja kurithisha dunia kizazi kingne.
ETI UNAPOZIKWA TU. UNAAMSHWA THEN UNAANZA KUPAMBANA NA MICHANGA ILIYOKUFUNIKA AU SANDUKU + JOTO.
 
Back
Top Bottom