safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,314
- 18,146
Ahahahahhahahhahaa
Napata faraja mno kuona namna viongozi wetu wa CCM wanavyokubalika.
Napata faraja mno kuona namna viongozi wetu wa CCM wanavyokubalika.
Heshima kwako mkuu.Umekariri vibaya sana jamaa ni mkristo..jina limekufanya uhisi ni muislamu hahahaha
Bahati mbaya kabisa, wanaweza wasiwemo katika list ya ajaye, ukashangaa kimeibuka kibungo kisichoeleweka kabisaa.Majaliwa,Samia,Jaffo,RC wa Simiyu ni kati ya top ten ya viongozi wenye hekima na busara tunajivunia kuwa nao.Wana mpangilio wa Hoja wametulia hawana papara hata wanapojibu Hoja awachoshi kuwasikiliza.
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.
Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.
Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.
Kongole Kassim Majaliwa
Huyu mtu amebarikiwa busara na ana taranta ya uongozi, hata makamu yuko vizuri sana
Kuna watu kiasili wanazaliwa wakiwa viongozi, huyo ni mmoja kati yao
Happy ni Budha?
Kassim Majaliwa ni Mwanafunzi wa Msoga kama ilivyo kwa January
Huyu alipoapa kulinda katiba na Mungu kambariki kwa sababu aliapa kwa dhati, Kuna waziri juzi aliingia mkataba wa kuuziana korosho tani 100,000 na kampuni ya Ke lakini mkataba umevunjika hata tani moja hawajauziana
Ila ujue alikuwepo kwenye ile clip ya tuna Imani na Lowasa.Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.
Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.
Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.
Kongole Kassim Majaliwa
Mmmh acha hizo mada ni mbaya sana
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Napendekeza huyo macho michuzi avuliwe ubunge wa viti maalumu arudishwe darasani akafundishe ameitia nchi hasara ya matrilioni kuanzia makinikia Hadi korosho!Huyu alipoapa kulinda katiba na Mungu kambariki kwa sababu aliapa kwa dhati, Kuna waziri juzi aliingia mkataba wa kuuziana korosho tani 100,000 na kampuni ya Ke lakini mkataba umevunjika hata tani moja hawajauziana
umetisha, nadhani like yangu uneionaKwa taarifa yako prince anapachikwa jimbo la kawe kisha anautwaa uwaziri mkuu,
Majaliwa is simply a good leader asiyetakiwa katika serikali ya viwanda maana haimbi mapambio na anapendwa sababu ya roho mzuri aliyonayo.
One man show ndo inayowafanya waonekane haqazingumzi...Huyu mtu amebarikiwa busara na ana taranta ya uongozi, hata makamu yuko vizuri sana