Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa amshukuru Magufuli kwa uteuzi. Awataka wananchi wa Ruagwa waendelee kumuombea

Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa amshukuru Magufuli kwa uteuzi. Awataka wananchi wa Ruagwa waendelee kumuombea

Black cap

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2023
Posts
951
Reaction score
1,215
Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Kassim Majaliwa amemdhukuru Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Majaliwa ametoa shukrani hizo leo, Jumamosi Desemba 20.2025 kwenye hafla ya kumshukuru na kumuaga iliyoandaliwa na wakazi wa Ruangwa
Screenshot_20251221-172611~2.png
 
Kikwete pia kamshukuru na samia pia mbona umekuja kutaja jina moja tu?
🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe umemshtukia?!!!!
Nakwambia haters wa Samia kazi wanayo, Hadi 2030 Nina uhakika wengi sana watakuwa wamejifungulia njiani kwa kufunikwa na michuki vifuani mwao.
 
Legacy ipi hiyo bwashee!?
Makao makuu kuyarudisha dodoma rasimi

Ikulu chamwino

Flyover

Busisi bridge

Bwala la mwalimu Nyerere

Sgr

Kuwatoa usingizini watanzania kuwa wao sio masikini.

Masoko ya dhahabu

Umeme bure vijijini

Kufufua shirika la ndege

Mimi kuzalisha nje ya ndoa kwenye utawala wake. Hii ni muhimu sana.
 
Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Kassim Majaliwa amemdhukuru Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

Majaliwa ametoa shukrani hizo leo, Jumamosi Desemba 20.2025 kwenye hafla ya kumshukuru na kumuaga iliyoandaliwa na wakazi wa RuangwaView attachment 3518738
Pole sana PM Mstaafu we experience.your feelings. Mungu akujalie uvumilivu
 
Kuvaa skefu shindoni ndio kigezo cha awamu hii
 
Makao makuu kuyarudisha dodoma rasimi

Ikulu chamwino

Flyover

Busisi bridge

Bwala la mwalimu Nyerere

Sgr

Kuwatoa usingizini watanzania kuwa wao sio masikini.

Masoko ya dhahabu

Umeme bure vijijini

Kufufua shirika la ndege

Mimi kuzalisha nje ya ndoa kwenye utawala wake. Hii ni muhimu sana.
Nenda kasome Ilan ya CCM 2015 ambayo alikuta imeandaliwa...by the way Legacy kubwa aliyoiacha Mungu wenu Yule ambayo ipo active mpaka leo ni kupora uchaguzi na kupiga wanaompinga risasi
 
Yupo sahihi, JPM ndo alimteua huyu dingi. Samia amekuwa Raisi kwa "Ngekewa" tuu. Kama ambavyo Mchimbi atakavyokuja kuwa raisi kwa "Ngekewa" kabla ya 2030.
 
Back
Top Bottom