Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Acha kuwa na mawazo finyu, mtu wa dini yoyote na kabila lolote anaweza kuwa kiongozi mzuri sana, unataka kusema hii chi kila sekta inaongozwa na mwislam? Na pia unataka kusema hakuna viongozi wa kiislam wanaofanya mambo ya hovyo na ya kifedhuli tena kuliko hata hao wakristo unaowasema?

Yule aliyeagiza binadamu mwenzake achinjwe kisha akatwe katwe kama mishkaki kule Uturuki ni Mkristo?
Mbaya zaidi yuko makao makuu yenu.
Wacha hasira ukweli waonesha hivyo mchunguze Mkapa Nyerere Mwinyi na Kikwete kisha lete jibu
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Tehe tehe tehe
Acha kukebehi imani za watu
Majaliwa hana sifa za kuwa muislam
Amefunga ndoa ya bomani na Mary Majaliwa,ndoa ambayo inamuondolea sifa .Atabaki kuwa kiongozi jasiri na muadilifu
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
siri yake ni imani yake.
 
Huyu nimwalimu kwelikweli sio, mwalimu anaejielewa anaujua ulimi kuwa ni siraha ukitumika vibaya , hivyo anajiadhari sana, lkn siko mbari na wengine waliokwisha changia mada hii na imani yake inachangia, hajakulia vijiweni, au kwenye shida
 
Acha kuwa na mawazo finyu, mtu wa dini yoyote na kabila lolote anaweza kuwa kiongozi mzuri sana, unataka kusema hii chi kila sekta inaongozwa na mwislam? Na pia unataka kusema hakuna viongozi wa kiislam wanaofanya mambo ya hovyo na ya kifedhuli tena kuliko hata hao wakristo unaowasema?
Yule aliyeagiza binadamu mwenzake achinjwe kisha akatwe katwe kama mishkaki kule Uturuki ni Mkristo?
Mbaya zaidi yuko makao makuu yenu.
Mbona wale wanao uza unga wenzao wenye majina ya kiislam huwa mnawanasabisha moja kwa moja na uislam? Kwanini naye asitumie hicho kigezo vice verse?
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Na ndio maana sio kila Muislamu ni GAIDI (TERRORIST) lakini kila GAIDI ni muislamu kwa sababu WAISLAMU wana hekima kubwa ya UONGOZI !!! Umenena vema, una akili na hekima kubwa sana na lazima wewe utakuwa Muislamu GAIDI pia!!!
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
Amelelewa vizuri, hao vifutu wengi hawakupata malezi bora ni machokoraa tu.
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
CCM wako vizuri katika kuwagawa watu aidha kwa dini au ukabila, hapa tayari umeshawaondoa watu kwenye reli. Hii kanuni ya divide and rule inaibeba sana CCM na ushahidi ni kwenye post hii. Poleni sana mliolegezwa kwa mtazamo wa kidini yaani mumekuwa laini kama mlenda vile.
 
CCM wako vizuri katika kuwagawa watu aidha kwa dini au ukabila, hapa tayari umeshawaondoa watu kwenye reli. Hii kanuni ya divide and rule inaibeba sana CCM na ushahidi ni kwenye post hii. Poleni sana mliolegezwa kwa mtazamo wa kidini yaani mumekuwa laini kama mlenda vile.

Yanaongeleka mtaani Wana refer pia wao wakipewa leseni mambo huwa safi ki riziki vyuma havikazi
 
Katiba hampendi iguswe
Cheo cha Waziri Mkuu hakipaswi kuwapo kwani hana Mamlaka yoyote. Wote anaonekana kuwasimamia ni wateule wa Rais. Aidha Rais apunguziwe majukumu ya Kiserikali apewe yeye
 
Naona unawatafuta maneno kina Agwe
Napendekeza huyo macho michuzi avuliwe ubunge wa viti maalumu arudishwe darasani akafundishe ameitia nchi hasara ya matrilioni kuanzia makinikia Hadi korosho!
 
Back
Top Bottom