Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Unaleta udini ktk siasa, jitahidi kushirikisha hakiri yako na vidole vyako kabla hujakomenti kitu.

Mshazoea unafiki kusema mambo pembeni? Si mlinganishe wenyewe,kwann mjifungie kwenye Hoja ya udini Na siasa
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
Huwa hatumii miemuko au kutaka kusifiwa wakati anapotekeleza kazi zake
 
kale kabinti Jokate nako kana Talent za uongozi
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
Naona mkibanwa mnakumbuka makoloni yenu. Mlimtaka lowassa, mkaja sumaye, membe, jk, samia sasa mnamtaka majaliwa
 
PM na Makamu wa Rais ni viongozi. Nimemaliza.
Kweli kabisa watu wangejifunza busara na unyenyekevu wa "mtukufu" Rais wetu John Magufuli tungefika mbali sana. Maana yeye ni mfano bora kabisa hata duniani kwa upole na unyenyekevu, ndio maana hata kanisani anapiga magoti.
(Samahani lakini, nimemkuta rasta mmoja anavuta nadhani ni sigara akanipa nivute sasa sijui nimeandika nini)
 
Mtu yeyote mwenye kuamini kiama au mauti ni lazima aongoze katika hekima, Mwenye Imani ya kweli na Mungu wake lazima atendee wengine sawa sawaa na anavyojitendea yeye.Tuache udini na ukabila ndugu zangu sisi sote ni wamoja na tunaelekea safari moja.

Maradhan Kareem
 
Japo mimi ni mkristo lkn nakubaliana nawewe nadhani waislamu wana malezi bora kwa watoto wao maana tabia zetu huathiriwa sana na malezi tuliopata utotoni.
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Back
Top Bottom