Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Acha kuwa na mawazo finyu, mtu wa dini yoyote na kabila lolote anaweza kuwa kiongozi mzuri sana, unataka kusema hii chi kila sekta inaongozwa na mwislam? Na pia unataka kusema hakuna viongozi wa kiislam wanaofanya mambo ya hovyo na ya kifedhuli tena kuliko hata hao wakristo unaowasema?

Yule aliyeagiza binadamu mwenzake achinjwe kisha akatwe katwe kama mishkaki kule Uturuki ni Mkristo?
Mbaya zaidi yuko makao makuu yenu.

Na Lipumba je
 
Hakika, japo hatujajua kama ungwe ijayo atabaki kama alivyo!
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Unaleta udini ktk siasa, jitahidi kushirikisha hakiri yako na vidole vyako kabla hujakomenti kitu.
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
Huyu mtu amebarikiwa busara na ana taranta ya uongozi, hata makamu yuko vizuri sana
Kuna watu kiasili wanazaliwa wakiwa viongozi, huyo ni mmoja kati yao
 
Kwa taarifa yako prince anapachikwa jimbo la kawe kisha anautwaa uwaziri mkuu,

Majaliwa is simply a good leader asiyetakiwa katika serikali ya viwanda maana haimbi mapambio na anapendwa sababu ya roho mzuri aliyonayo.
 
Kuna watu wameanza kuingiza ukabila na udini, mambo ambayo siyo. Lkn hata mimi namwona PM kama mtu mwenye busara sana. Na kwa maoni yangu, anakuwa hivyo kwa sababu anaheshimu watu wengi na hana huu "ukabila" wa kisiasa ambao unawafanya wengi kuwa lunatics. Fanya tena utafiti, kiongozi yeyote mwenye michuki ya kisiasa siku zote matamshi yake ni ya ovyo ovyo.
 
MTU yeyeto anaeswali Na kukumbuka kupalilia makaburi ya ndugu zake Na pia afungae,huwa ni kiongozi bora mwenye utu Na kuwathamini wengine,hawezi lewa Madaraka, tofauti Na viongozi waumini wa ndumba
We mbona hyo busara huna?

Unaidhalilisha dini yako!
 
Back
Top Bottom