Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

CCM wako vizuri katika kuwagawa watu aidha kwa dini au ukabila, hapa tayari umeshawaondoa watu kwenye reli. Hii kanuni ya divide and rule inaibeba sana CCM na ushahidi ni kwenye post hii. Poleni sana mliolegezwa kwa mtazamo wa kidini yaani mumekuwa laini kama mlenda vile.
Siyo CCM tu ni dunia nzima inagawanywa kwa misingi ya udini.
 
Back
Top Bottom