Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

una uhakika sababu ni muislamu au ni maisha ya kawaida na kiuongozi aliyoyapitia?viongozi wangapi waislamu wamebolonga
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Hoja ya kijinga sana ila inaleta maana.

Lakini itakua ni coincidence tu.
Wakati wa Mwl. walokuwepo wanasema mambo yalikua tight sana.
Akaja mzee Ruksa hali ikawa nafuu.
Akaja Benja hali ikawa tight tena ( hapa NBC ikauzwa)

Akaja Mzee wa Msoga nafuu ikapatikana japo wajanja walifaidi sana.
Akaja bwana yule( huyu sitaki kumzungumzia maana hata Mdude hajapona)
 
Point, shida ya sisi wakristu tunaweka sana mbele matumizi ya nguvu,
Kuna kitu mnashindwa kuelewa.

Ni kwamba kwa historia ya waislam wengi kuchelewa kupata elimu, ukilinganisha na wakristo, hii imefanya muislam yeyote katika ngazi flani kukosa backups(minazi), hivyo husimamia haki na sheria akiamini endapo ataharibu, hakuna wa kumkingia kifua.

Tofauti na wakristo ambao ubakuta yuko sehemu flani, ila mjomba ni mkurugenzi sehemu, baba mdogo ni waziri, shangazi ni katibu. Nk.
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
Tatizo lake sio mwongeaji
 
Hoja ya kijinga sana ila inaleta maana.

Lakini itakua ni coincidence tu.
Wakati wa Mwl. walokuwepo wanasema mambo yalikua tight sana.
Akaja mzee Ruksa hali ikawa nafuu.
Akaja Benja hali ikawa tight tena ( hapa NBC ikauzwa)

Akaja Mzee wa Msoga nafuu ikapatikana japo wajanja walifaidi sana.
Akaja bwana yule( huyu sitaki kumzungumzia maana hata Mdude hajapona)

Tushazoea maneno ya kupambwapambwa, kiuchumi ni nafuu angalau waislamu wakishika mwiko kila MTU atashiba tofauti Na upande wa pili ula wenyewe jikoni,wengi twapiga mihayo
 
Kuna kitu mnashindwa kuelewa.

Ni kwamba kwa historia ya waislam wengi kuchelewa kupata elimu, ukilinganisha na wakristo, hii imefanya muislam yeyote katika ngazi flani kukosa backups(minazi), hivyo husimamia haki na sheria akiamini endapo ataharibu, hakuna wa kumkingia kifua.

Tofauti na wakristo ambao ubakuta yuko sehemu flani, ila mjomba ni mkurugenzi sehemu, baba mdogo ni waziri, shangazi ni katibu. Nk.

Ishu kuu ni ibada,funga,kupalilia makaburi hivi uondoa kiburi Na ni kinga la ulevi wa madaraka.Si unajua kupigiwa saluti Na kufunguliwa mlango wa GARI vinavolevya wengi sana.
 
Huyu mtu amebarikiwa busara na ana taranta ya uongozi, hata makamu yuko vizuri sana
Kweli kabisa hata makamu yuko vizur hajitutumui kama hawa wengine aisee saruti kwao wamemzidi hata mkuru wa kaya.
 
Kweli kabisa hata makamu yuko vizur hajitutumui kama hawa wengine aisee saruti kwao wamemzidi hata mkuru wa kaya.
Seleman Jaffo yuko vizuri sana ni Hazina kuu ya ccm wa kesho,asilewe tu.Wengi umsema Kwa wema.
 
Mh PM ni Raisi afaaaee baaada ya chuma. Mungu ambariki siku moja ashike inchi
 
Kwa katiba ya nchi hii - Waziri mkuu ni sawa na Remot Control hawezi fanya maamuzi bila mshika Remot - Rejea sakata la Korosho😎
Inamana hao wakuu wa mikoa, mawaziri, wakuu wa wilaya wao sio wateuliwa na mkuu wa kaja mbona tunawaona wanatoa matamko na kauli mbaya zisizo na tija hata kuleta mitafaruku kwenye jamio mbona hawaogopi kutimumliwa!!??

Hapana uaitidanganye MAJALIWA na Samia wana tunu na karama za uongozi.
 
Majaliwa,Samia,Jaffo,RC wa Simiyu ni kati ya top ten ya viongozi wenye hekima na busara tunajivunia kuwa nao.Wana mpangilio wa Hoja wametulia hawana papara hata wanapojibu Hoja awachoshi kuwasikiliza.
 
Majaliwa,Samia,Jaffo,RC wa Simiyu ni kati ya top ten ya viongozi wenye hekima na busara tunajivunia kuwa nao.Wana mpangilio wa Hoja wametulia hawana papara hata wanapojibu Hoja awachoshi kuwasikiliza.
 
Back
Top Bottom