Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

MTU yeyeto anaeswali Na kukumbuka kupalilia makaburi ya ndugu zake Na pia afungae,huwa ni kiongozi bora mwenye utu Na kuwathamini wengine,hawezi lewa Madaraka, tofauti Na viongozi waumini wa ndumba
kama yule mfalme alokwenda malawi ziarani kumbe usiku kaenda kwenye ndumba
 
Viongozi wengi wa awamu ya tano wamekuwa wakitoa matamshi yasiyo na hekima wala busara, lakini Waziri Mkuu kwa kiasi kikubwa ameweza kuzilinda hisia zake na kudhibiti ulimi wake.

Ameweza pia kuwavumilia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao wamekuwa wakienenda kinyume Cha maadili ikiwemo kimatamshi na Sasa mavazi.

Pamoja kulinda ulimi wake ameweza kuonyesha utumishi Bora na hata maelekezo yake yanaheshimika na kutekelezwa kuliko hata ya wale wanaotumia lugha chafu na za udhalilishaji.

Kongole Kassim Majaliwa
Mbele za Mungu na wanadamu, MH. MAJALIWA kwanza anatakiwa atunukiwe phd ya falsafa , huyu waziri ana hekhma sana, anawazidi wote, ana sura ya kiongozi na ndiye pekee 2020 atatuvusha kaanani, maana hapa tumerudishwa mwaka 84 pale nanii alipoamua kuachia nchi baada ya mabeberu kumwekea masharti.

huyu jamaa hakoseagi, kaambiwa atachapiwa shangazi zake akapiga kimya, angekuwa bashite lazma angejibunkwa kiburi cha hitler
 
Kwa katiba ya nchi hii - Waziri mkuu ni sawa na Remot Control hawezi fanya maamuzi bila mshika Remot - Rejea sakata la Korosho😎
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Tatizo lao hao waungwana ni kushindwa kuweka mipaka kati ya uongozi wa nchi na dini, huwa wanavichanganya hivyo vitu viwili na mwishowe wanavurunda.
 
Kuna jamaa nilikuwa naongea naye jana tukawa tunamzungumzia waziri mkuu... Jamaa akasema ni bora Magufuli aendelee naye awamu ya pili maana ameumudu uwaziri mkuu!
 
Acha kuwa na mawazo finyu, mtu wa dini yoyote na kabila lolote anaweza kuwa kiongozi mzuri sana, unataka kusema hii chi kila sekta inaongozwa na mwislam? Na pia unataka kusema hakuna viongozi wa kiislam wanaofanya mambo ya hovyo na ya kifedhuli tena kuliko hata hao wakristo unaowasema?

Yule aliyeagiza binadamu mwenzake achinjwe kisha akatwe katwe kama mishkaki kule Uturuki ni Mkristo?
Mbaya zaidi yuko makao makuu yenu.
Usiende mbali mkuu ...Ally Hapi ni mkristo?
 
Napata faraja mno kuona namna viongozi wetu wa CCM wanavyokubalika.
 
Sababu ni muislam,Fanya tafit waislamu huwa Na hekima ya uongozi kuliko wakristo
Umekariri vibaya sana jamaa ni mkristo..jina limekufanya uhisi ni muislamu hahahaha
 
Back
Top Bottom