Kwanini Wazanzibari Hawana Vichogo?

Nashukuru kwa kuuliza hili swali! Nimejiuliza sana mara kadhaa, ila nilikuwa nakosa pa kuanzia! Uko sahihi kabisa, wengi visogo hamna, yaani panakuwa bapa, sijajua ni kwa nini!
 
Hahaha kweli mkuu mfano mzuri muangalie Salum Mwalimu Huyu Wa Chadema then ana mdogo wake nimemsahau jina nae hivo hivo no vichogo..nilisoma nao primary

Kuna mmoja nimesoma nae chuo yuko hivo, pia mcheki Nadir Haroub wa Yanga.
 
Uzao wa watumwa, watumwa walikuwa wakibebeshwa magunia shingoni, yakapiga pasi chogo na kufuta akili evolution ikaendelea hadi leo. Most of them are bogas na Mataahira wote Duniani hawana vichogo na wanafanana hata akiwa mzungu.
 
Huko Zenji unajulikana kuwa si Mzanzibari na kuitwa chogo.

Wao mtoto akizaliwa wanamkanda kwa kutumia mfuko wenye mchanga kisogo na ndo maana wanakuwa na chogo bapa. Ni sehemu ya utamaduni wao.

mh! umeipata wp hyo? labda kuna makabila bt mm nijuavyo mtt mchanga anasokotewa kanga au tunaita kata then ndo analazishwa kati ya ile kata ndo maana hatuna machogo
 
Uzao wa watumwa, watumwa walikuwa wakibebeshwa magunia shingoni, yakapiga pasi chogo na kufuta akili evolution ikaendelea hadi leo. Most of them are bogas na Mataahira wote Duniani hawana vichogo na wanafanana hata akiwa mzungu.

Utakuwa na matatizo, kama Wazanzibari ni mzao wa utumwa na Wabara Je? kwa maana Wazanzibari wote wanatokea Tanzania Bara hao unaowaita Mzao wa Utumwa, sasa iweje Mtoto awe Mzao wa Utumwa halafu Babu asiwe?
 

Nimesoma na wazanzibar wasiopungua 9 since primary mpaka secondary,ni kweli hawana kabisa visogo na wote walikuwa vilaza wa kutupa kwenye masomo sasa sijui kuna uhusiano Kati ya hivyo vitu viwili.

Kali kuliko ni kwamba madogo walikuwa wanazijua Kero za muungano tukiwa darasa la pili lakini Multiplication table hata ya 2 chalii.
 
Wakati huo huo Jiulize pia kwa nn mataahira wengi hawana machogo
Huu ulinganisho wako nimeupenda
Kwa kuwa Wazanzibari wengi hawana machogo, na kwa kuwa mataahira wengi hawana machogo, ndio kusema Wazanzibari wengi ni......(mimi simo).
 

Nimesoma na wazanzibar wasiopungua 9 since primary mpaka secondary,ni kweli hawana kabisa visogo na wote walikuwa vilaza wa kutupa kwenye masomo sasa sijui kuna uhusiano Kati ya hivyo vitu viwili.

Kali kuliko ni kwamba madogo walikuwa wanazijua Kero za muungano tukiwa darasa la pili lakini Multiplication table hata ya 2 chalii.

Roho imeniuma uliposema watoto wadogo miaka hiyo wameshajua kero za muungano ila cha kushangaza mpaka sasa hawafanikiwi tu kutwaa mamlaka kamili yaliyotwaliwa na tanganyika.
 
Back
Top Bottom