Kwanini Wazanzibari Hawana Vichogo?

Kwanini Wazanzibari Hawana Vichogo?

Ni kweli kabisa mimi nimekuwa nikitambua hilo siku nyingi bt sijajua sababu hadi leo hii Pia watu wa Ghana pia hawana vichogo nimekuwepo huko mara kadhaa.
 
Wazanzibari na watu wa pwani wengi wanapohisi mtoto amezaliwa na chogo na au akilala analala ubavu hutumia mito midogo ya mchanga kuwawekea kisogoni na huwabana kwa khanga mwilini ili wasigeuke wakalala kwa ubavu. Hii ni wakati wachanga kabisa na bado wateke.

Matokeo ni kuwa na kisogo na si chogo.
Kumbe machogo yanaweza kupunguzwa!
 

Nimesoma na wazanzibar wasiopungua 9 since primary mpaka secondary,ni kweli hawana kabisa visogo na wote walikuwa vilaza wa kutupa kwenye masomo sasa sijui kuna uhusiano Kati ya hivyo vitu viwili.

Kali kuliko ni kwamba madogo walikuwa wanazijua Kero za muungano tukiwa darasa la pili lakini Multiplication table hata ya 2 chalii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni ujinga ulioenea ukakubalika lakini kufunga vichwa vichanga ili wasiwe na visogo hubana nafasi ya kukua kwa ubongo, hence akili ndogo.
Kisaikolojia, children with mental disabilities hutambuliwa kwa vichwa vya duara.
USA [emoji631] ukiwa na kichwa duara hupewi driving licence, wakiamini wewe ni special needs person. Kind like down syndrome [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]
 
Back
Top Bottom