DOKEZO
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 324
- 504
Ngoja niwajuze sababu halisi ya asilimia kubwa ya wanzazibari kukosa vichogo.Asilimia kubwa ya wazanzibari ni waislamu na kwa wanawake huwa wanaswali. Mwanamke sio tu wa kizanzibari bali wa kiislamu kuwa na mimba sio sababu ya kumfanya asiende msikitini kuswali au hata kuswalia nyumbani.hivyo basi wanawake wa kizanzibari wanapokuwa na mimba wanaswali mpk pale hali itakapokuwa haimruhusu kabisa.kitendo hicho hupelekea mgandamizo katika mfuko wa uzazi wenye mtoto kwa sababu ya kuinama (kurukuu) na anapokwenda kusujudu (sijda).kwa siku ni swala tano na kwa sababu ni kitendo cha kilasiku ndio hiyo hali hutokea.