Kwanini Wazanzibari Hawana Vichogo?

Kwanini Wazanzibari Hawana Vichogo?

ujue chogo ndio mpango mzma coz nafasi ya akili inakuwa kubwa BUT vichwa bapa havina nafas ya kutosha kuifadhi akili,ata utashi wao ni mdogo,ingewezekana kla mwanadamu angekuwa kama baba ndumbwi, chogo oyeeeee!!

Wayahudi wengi pia hawana chogo...
 
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!

Na naomba uniambie kwanini waarabu wana masikio makubwa hivyo na kwa nini wahindi wana pua ndefu hivyo.
 
Mkuu,Wazanzibar wanauelewa mkubwa sana kwenye somo la uraia,na historia ya kisiwa chao japo kuwa upotoshaji pia umejaa.Nadhani madrasa inamchango mkubwa sana katika hili la kuwafanya wajitambue mapema sema unafiki na usaliti wa wanasiasa wazanzibar ndo unaufanya muungano uwepo.

Sijui hata nikupe zawadi gani uridhike, chukua like
 
Wewe ni muongo mzandiki, katika vyuo vikuu vyote vya Tanzania wanaoongoza kwa kushika nafasi za juu ni Wazanzibari na hasa hasa wanaotoka kisiwa cha Pemba, kitendo cha wewe kusema kama watoto wa darasa la pili wanazijua kero za muungano ni kuthibitisha kama hawa watu wapo juu kiakili na umewakubali kiaina ingawa mchango wako ulikua wa chuki zaidi
Kwani wapi nimeandika wazanzibar wote ni vilaza?Mimi nimezungumzia juu ya hao niliosoma nao halafu wewe unadai wenye akili ni wapemba then what if niliosoma nao mimi ni waunguja?Mkuu huo muda wa kumchukia mtu asiyenihusu kwa vyovyote huwa sina penye ukweli huwa nasema ukweli daima.Hao vijana walikuwa vizuri kwenye dini pamoja na civics/historia ya Zanzibar basi.Na kama kweli wanaongoza vyuoni basi ni jambo jema.
 
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!

Halafu nilisikiaga kuwa watu wasio na visogo aka vichwa flati huwa hawanaga akili vizuri
 
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!

niliwahi kumwuliza mama mmoja wa kipemba akaniambia kwamba wao mtoto akishakuzaliwa, huwa wanaweka mchanga kama mto na wanamlaza akiwa chali kichwa kikiwa kimelalia mchanga kichogoni na hiyo husaidia kuondoa kichogo.
 
Huko Zenji unajulikana kuwa si Mzanzibari na kuitwa chogo.

Wao mtoto akizaliwa wanamkanda kwa kutumia mfuko wenye mchanga kisogo na ndo maana wanakuwa na chogo bapa. Ni sehemu ya utamaduni wao.

Mkuu, karume mkubwa nae hakuwa na chogo?
 
Huu ulinganisho wako nimeupenda
Kwa kuwa Wazanzibari wengi hawana machogo, na kwa kuwa mataahira wengi hawana machogo, ndio kusema Wazanzibari wengi ni......(mimi simo).

akaa,mi nimetoa angalizo tu
 
wakuu ukienda zanzibar au kama umeshawahi kwenda unguja au pemba utashangaa kuwaona wanaume wa kizanzibar hawana visogo kama wabongo. jamani mwenye kujua zaidi hii kitu na akuje huku atujuze
 
Na kwanini wanaume wa bara wanaichogo sana? Ukiweza kujibu hapo pia utapata jibu la huko visiwani, hovyo we we, we unaweza kuuliza kwanini wazungu wananywele ndefu,sisi fupi
 
Ahh Kuna jamaa flani ivi mzenji Ana chogo balaa.... Yani yule mshkaji kwa jinsi chogo lilivo kubwa akigeuka nyuma bahati mabaya anaweza akaliona😂
 
Hivi ni kwa nn mpaka leo tanganyika inaitawala zanzibar?
 
Back
Top Bottom