sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Hivi kwanini wazanzibari wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli wakijiangalia kwenye kioo wanajiona ni waarabu?
Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu ni ngumu sana muarabu kumuozesha bibtiye kwa mzanzibari,
Jata kama ni chotara mwenye nywele zilizojiviriga na nfozi ya brown wakienda uarabuni huitwa waafrika na kubaguliwa, Kuna baadhi ya wasimamizi wa mashamba ya karafuu waliingilia watumwa wa kiafrika na watoto kuwa machotara lakini ajabu ni kwamba wanakataa kabisa asili ya mama zao, kwanini ? hulazimisha kuwa sehemu ya waarabu wasiowatambua kuwa ni waarabu kwanini ?
Imepelekea hata wanawake wengi sana kutumia vipodozi vingi kujaribu kuipata rangi ya kiarabu, kuna maada pia ipo humu ndani kwamba kuna utamaduni wa kuwalaza watoto vichwa kwenye kibao kigumu ili kichwa kisiwe na kisogo
Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu ni ngumu sana muarabu kumuozesha bibtiye kwa mzanzibari,
Jata kama ni chotara mwenye nywele zilizojiviriga na nfozi ya brown wakienda uarabuni huitwa waafrika na kubaguliwa, Kuna baadhi ya wasimamizi wa mashamba ya karafuu waliingilia watumwa wa kiafrika na watoto kuwa machotara lakini ajabu ni kwamba wanakataa kabisa asili ya mama zao, kwanini ? hulazimisha kuwa sehemu ya waarabu wasiowatambua kuwa ni waarabu kwanini ?
Imepelekea hata wanawake wengi sana kutumia vipodozi vingi kujaribu kuipata rangi ya kiarabu, kuna maada pia ipo humu ndani kwamba kuna utamaduni wa kuwalaza watoto vichwa kwenye kibao kigumu ili kichwa kisiwe na kisogo