masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,376
- 19,251
kichogo kina advantage gani kwa mtumiaji
kwa sababu ya kunywa urojo
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!
aisee mkuu.hembu tuambie wanazifanyaje mpk zinakuwa hivyo.siri ya urembo tafadhali.Alafu mademu wa kizenji "kitu mnato balaa"yani utamu hauishi,but wengi wao ni flat scren.
aisee mkuu.hembu tuambie wanazifanyaje mpk zinakuwa hivyo.siri ya urembo tafadhali.
Tutsi v/s Hutu.... I can see it coming....! Wabeligiji walikuwa wanatofautisha Watusi na Wahutu kwa kuwapima vichwa kwa "tape measure"!!!!!
pole mkuu maana kuna watu kwa kulazmisha uchokozi hawajamboIla hii mada iko interesting sana. Kwa kifupi Nimeshika mbavu kwa kicheko.
Hivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!
Ha ha haHivi ni kwanini Wazanzibari walio wengi hawana vichogo kama sisi wa Bara? Yaani vichwa vyao kwa nyuma vimepigwa pasi na havijachongoka kama vya kwetu Wabara!