Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Wapi ng'ombe mia tatu...
Ila usukumani huyu unaweza ishia kupata ndama...
images
siyo ndama hata kuku hupewi
 
Umpige limbwata msikuma wakati huko ndo nyumbani...acha kuweweseka...ni malovedave wewe....

Na hilo limbwata nimewapiga familia nzima???

Maana mimi ni kipenzi cha wakwe na wifi zangu wooote....

Te te te...si wasukuma wote wanapenda kwa fashion....wako wanaojua nini wanataka

Okampyageja kalokomolo! Sio bure limbwata lilifanya kz!
tian
 
Umpige limbwata msikuma wakati huko ndo nyumbani...acha kuweweseka...ni malovedave wewe....

Na hilo limbwata nimewapiga familia nzima???

Maana mimi ni kipenzi cha wakwe na wifi zangu wooote....

Te te te...si wasukuma wote wanapenda kwa fashion....wako wanaojua nini wanataka

Kwi Kwi Kwi Kwi!

Si bure familia nzima!?
 
Ntuzu miss neddy na Mshinga..kipindi kile miss tz hapiness magese alivotwaa taji,alifanyaga ziara mikoani..sasa alivofika mwanza alitembelea maeneo mbalimbali...abhagosha abhasukuma angu bhalina tuja,walitegemea anakuja miss mweupe nginu gete ..sasa aho oshika u hepi..abha jinja she bha mwaloni bhayumela

''agaya,abha swahili bhalinatuja shi,bhatatangagije aliza miss,miss..duhaya aliza ng'wanike opee ngololoku shiza,aliyo bhadenhela miss ke..miss ke ng'wenuyu adeni dako''

kwa hiyo Mshinga weupe nele dako ni added advantage usukumani..lol

Nimecheka mpaka machozi hayaishi machoni. Dah haya bhana
 
Muache kusema ni wasukuma tu ndo tunapenda watoto kama hawa,hivi kuna watu wa jamii fulani hawapendi watoto kama hawa?haki ya nani siamini,ndo kila siku tunasingiziwa sisi tu.

Haya mtoto kama wa hivi kama yumo humu ndani mimi nitaarifiwe ili nimpigie simu mzee aandae ng'ombe za kutosha kabisa alafu nyinyi ambao hamuwapendi hawa basi mtuachie sisi wasukuma wanatufaa.
Huyo anauzuri gani sasa.....chokesti vbaya sana
 
Kidemu chenyewe mbona kibovu hivyo, nywele ka kapigwa bomu!!!
Aargh...Umenikera kichizi,
Mi nkajua mtoto level za ..officiallyn.. We unaringishia kidem kina pua kama tundu za shotgun..ebo!!
 
Labda mwanangu wewe Msukuma Wa Masaki, Lkn mie Wa gamboshi Lazima ntafute kipusa cheupe na ng'ombe mpk 100 zinatoka kwa Mahali!

Cc Mentor
Kumbe mambo ya watu kuitana vipusa, yalianza zamani humu jf?!, mimi nilidhani ameanzisha Ali Kiba!.
P.
 
Sa mbona dem mwenyewe amekakamaa kama samaki aina ya kamongo??
 
Kidemu chenyewe mbona kibovu hivyo, nywele ka kapigwa bomu!!!
Aargh...Umenikera kichizi,
Mi nkajua mtoto level za ..officiallyn.. We unaringishia kidem kina pua kama tundu za shotgun..ebo!!
 
Back
Top Bottom