flagship
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,641
- 1,188
Mimi ni Msukuma lakini sifagilii wanawake weupe mi napenda chocolate Mkuu...acha kabisa naweza kumpa hata moja ya viwanja vyangu aiseee...pia haswa akiwa na nyama kidogo sio sanaaa...jamani acha tuu halafu humu JF WAPO Ila wametulia tuliiii....dawa yao ni kuwapa tuuu mazawadi na ma shopping tuuu hadi wakatae...
Okay!Huenda ungekuwa mfalme ungehonga vyeo.