Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

Mbona nyinyi mnapenda wanawake wenye misambwanda..ni ushamba au utamaduni..mtuache na maisha yetu..
 
Hivi kuna binadamu mweupe?? hebu nitoeni ushamba... Maana Rangi nyeupe najua ni kama ile ya maziwa fresh na tangu nizaliwe sijawahi kuona binadamu mwenye rangi kama ya maziwa fresh (Mweupe/Nyeupe)..[HASHTAG]#MsinichekeLakiniMshambaMimi[/HASHTAG]
 
Hivi kuna binadamu mweupe?? hebu nitoeni ushamba... Maana Rangi nyeupe najua ni kama ile ya maziwa fresh na tangu nizaliwe sijawahi kuona binadamu mwenye rangi kama ya maziwa fresh (Mweupe/Nyeupe)..[HASHTAG]#MsinichekeLakiniMshambaMimi[/HASHTAG]

We jifanye mtoto tu.Avatar yako inakutotosha?
 
Wasukuma si watu wa mchezo mchezo wamempiga mgogo mwenzangu ng'ombe kumi na sita. Hata kama ni mahari hii imezidi
 
Sasa mimi mweusi halafu nioe tena mweusi no logic nachagua rangi tofauti ili nipate kids angalau weupe kidogo Weusi japo ni mzuri bt una nyima raha kidogo.
 
Sasa mimi mweusi halafu nioe tena mweusi no logic nachagua rangi tofauti ili nipate kids angalau weupe kidogo Weusi japo ni mzuri bt una nyima raha kidogo.
Astaghfirulah.unakufuru ndugu weusi unanyima raha kivipi?.Mimi ni mweusi na sijawahi kosa raha hata siku moja sababu ya weusi wangu na nimeishi maeneo maeneo mengi yenye ubaguzi
 
Back
Top Bottom